Balali aonekana ugly places

Balali aonekana ugly places

Ha huyu mtu mbna mm niko nae tunashinda wote kwenye mikahawa ya coffee

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Watanzania wenzangu
Yule gavana wa Benk kuu ya Tanzania aliyejificha nchini marekani tumepata taarifa za uhakika kutoka kwa ndugu zetu waliopo huko kuwa amekuwa akionekana maeneo ambayo ni very cheap kulingana na hadhi yake'je inawezekana huyu mzee aliyejificha Marekani na kudanganya Watanzania kuwa amefari ameanza kufilisika?kama ni kweli basi ajiandae kuvuna alichopanda'Mungu tunayemwamini ataweka hadharani mambo yote yaliyo gizani!

muwe mnaweka na picha bana..
 
Good luck natoka kijiji kimoja na balali na kaka yangu aliniambia alishawahi kumuuliza mama yake mzazi kuhusu hilo na alimjibu simple,,''mwanangu hajafa na msiba haujawahi letwa hapa kijijini'',,,,,balali afilisike its nonsense,all his investments,years of working abroad and domestically plus fishy deals,mkuu una imagine!!!

pole sana mkuu kwa kutoa identity yako mkuu usije kusema unasumbuliwa na haya mambo ya balali..
 
yaleyale tuliyoambiwa sokoine anaonekana ofisini

nyerere alimsilence sokoine kuptia tiss/uwt baada ya kumzdi nyerere umaarufu na kuogopwa na watumishi na viongoz kulko nyerere
 
Watanzania wenzangu
Yule gavana wa Benk kuu ya Tanzania aliyejificha nchini marekani tumepata taarifa za uhakika kutoka kwa ndugu zetu waliopo huko kuwa amekuwa akionekana maeneo ambayo ni very cheap kulingana na hadhi yake'je inawezekana huyu mzee aliyejificha Marekani na kudanganya Watanzania kuwa amefari ameanza kufilisika?kama ni kweli basi ajiandae kuvuna alichopanda'Mungu tunayemwamini ataweka hadharani mambo yote yaliyo gizani!

Ninaamini kabisa kua viongozi wote wa ngazi za juu wanao tawala Tanzania kuanzia kiongozi mkuu pamoja na baraza la mawaziri hakuna anaye mwogopa Mungu wote wamemuasi Mungu kwa sababu za uroho na tamaa za mali ila wamesahau kua Mungu hamfichi mnafiki hebu fikiria kuwa serikali iliwadanganya watanzania et Balali amefariki alimradi kupoteza ushahidi wa ufisadi walio ufanya B O T sasa yako wapi ?
 
Balali hawezi kufilisika, kwanza hapa Bongo anayo miradi kibao inamuingizia pesa.
 
Watanzania wenzangu
Yule gavana wa Benk kuu ya Tanzania aliyejificha nchini marekani tumepata taarifa za uhakika kutoka kwa ndugu zetu waliopo huko kuwa amekuwa akionekana maeneo ambayo ni very cheap kulingana na hadhi yake'je inawezekana huyu mzee aliyejificha Marekani na kudanganya Watanzania kuwa amefari ameanza kufilisika?kama ni kweli basi ajiandae kuvuna alichopanda'Mungu tunayemwamini ataweka hadharani mambo yote yaliyo gizani!

Kuna wenzio imewagharimu ishu ya huyu jamaa kisa kumpiga picha tu huko Boston. So watch out watakutafuta. Just ushauri tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom