Recent content by Raphael focus

  1. Raphael focus

    Milion 500 Vs mpenzi wako

    Hiki ulicho positi hapa ninawasiwasi huko shuleni unafanya vibaya dalasani.
  2. Raphael focus

    Kati ya biashara ya vyakula na vinywaji baridi na vikali ipi inalipa?

    Kwa mantiki hiyo umeuliza swali ambalo unafahamu jibu lake. Insane!
  3. Raphael focus

    Wanaume mli-deal vipi na hili, kwenye suala la utongozaji?

    Elewa hapo juu 👆 maana yake unapaswa kuwa mvumilivu hadi atakapoachana na mpenzi wake wa sasa.
  4. Raphael focus

    Landing Rights for satellite launching in Tanzania

    funaku , tatizo lako kubwa ni upungufu wa akili ulionao. Kama unafamilia (watoto wanaoenda shule), wakiwa wanatoka shule usiwaulize leo mumejifunza nini. Kwasababu funaku wewe ni punguwani wa akili.
  5. Raphael focus

    Numetumiwa ujumbe na Yas kuwa kuwa nimezawadiwa GB 8 bure, lakini 30 mbona sizioni kwenye salio?

    "when you buy an Internet pack worth 2,000" wakati wenzio wanaingia darasani, wewe ulikuwa bize kuwaibia walimu mahindi yao.
  6. Raphael focus

    Ujumbe wa vitisho ninaotumiwa na Really Pesa, je ni sahihi?

    Hawa wahuni nimewanyoosha sana. Ila kwa vitisho 🙌
  7. Raphael focus

    Kwanini makanisa yanakusanya sadaka wakati hayalipi kodi na wala hayawakopeshi waumini ili wajikwamue kiuchumi?

    Wala hawatoi misaada kwenye vituo vya kulelea watoto yatima, wazee na watu wanaoishi kwenye mazingira magumu. Kiujumla hawa ni matapeli.
  8. Raphael focus

    Nimekumbwa na maradhi maeneo nyeti. Ushauri wa kitabibu unahitajika

    Mkuu, naomba radhi kwa kukutisha, dhumuni la kupositi picha hiyo ni kupata ushauli sahihi kutoka kwa wadau. Kalibu kwa ushauli!
  9. Raphael focus

    Nimekumbwa na maradhi maeneo nyeti. Ushauri wa kitabibu unahitajika

    Shukurani kwa ushauli, ngoje nijalibu na aina hii ya mamatibabu.
  10. Raphael focus

    Nimekumbwa na maradhi maeneo nyeti. Ushauri wa kitabibu unahitajika

    Shukurani mkuu, nitafanyia kazi huu ushauli.
  11. Raphael focus

    Nimekumbwa na maradhi maeneo nyeti. Ushauri wa kitabibu unahitajika

    Habari! Kama mada inavyo jieleza hapo juu. Nitakilibani wiki ya nne sasa tangu nipatwe na maradhi haya. Ambapo nimekuwa nikipata muwasho eneo la uume, ukiambatana na ngozi kukakamaa pamoja na kutoa vigamba. Naombeni ushauri wa kitabibu, ni aina gani ya dawa naweza kutumia kutibu tatizo hili...
  12. Raphael focus

    Sudan: Mapigano makali yaibuka Khartoum, uasi wa majeshi mawili makubwa

    Uwezo wako wa kufikiri na kujenga hoja upo chini ya kiwango?!
  13. Raphael focus

    Sudan: Mapigano makali yaibuka Khartoum, uasi wa majeshi mawili makubwa

    Kwamujibu wa maelezo yako ni kwamba wazungu hawana masilahi na rasilimali madini ya D.R.C .Tambuwa kuwa ata wewe hapo, unaweza kumiliki mali au 'asset' kwa kutumia ubini wa mtu mwingine.
  14. Raphael focus

    Kati ya Burhani na Hemeti nani ashinde Sudan

    Hiyo 'tweet' umeilewa lakini?! Nini kitafuatia endapo U.S akiruhusiwa kutia muguu wake hapo? Na je? Akipeleka misaada ya kijeshi kumuunga 'general ' Abdel Fattah kwa mutazamo wako wewe, unadhani atakuwa ametatua huo mgogoro na kuleta amani? Halafu anamuita mwenzio 'kilaza'
Back
Top Bottom