Recent content by rantheb

  1. rantheb

    Wanafunzi wa Sekondari Mpaka Chuo Kikuu: Pata Vitabu vya Masomo Mbalimbali Hapa

    Kazi nzuri Sent from my HWV32 using JamiiForums mobile app
  2. rantheb

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    NMB SIJUI MMEISHIWA MACHINE ZA MAWAKALA AU NI VIPI? HATUWAELEWI, MTU KAOMBA MAOMBI YA UWAKALA NA YAMEPITA MIEZI MIWILI SASA HAJAPEWA MACHINE, IVI MPO SERIOUS KWEL!
  3. rantheb

    Nimechoka kuwa mwalimu

    Ualimu hauna kasoro hasa serikalini, chenye kasoro hapo ni ubongo wako kutokuziona fursa za kufanya ili hali bado upo kwenye ajira. Nawasilisha
  4. rantheb

    Mtia nia Ubunge jimbo la Chato Bi. Husna aliyelalamika bendera za CHADEMA kushushwa anashikiliwa na Jeshi la Polisi

    Wasimbe au Wanawake walioachwa na waume zao ndio huwa wagombea wa CHADEMA, au wanawake wasio kuwa na waume..... Ivi mtu kaachwaa ndio ataongoza wananchi kweli?
  5. rantheb

    Balozi wa Uingereza nchini Tanzania bi Sarah Cooke asikitishwa na tukio la Mbowe kushambuliwa, atoa wito kwa Serikali

    Watu kwa mihemkoo lo! Kwan wk hii aliyevunjaa mguu Mbowe...tu! Walevi kibao wanavunja miguu na kupitiwa na maroli.
  6. rantheb

    Kiongozi anapohamasisha ongezeko la bei ya vyakula, anaelewa Madhara yake?

    Mnoo....alfu hawajui hii "kila mbuzi atakula kulingana na urefu wa kamba yake"
  7. rantheb

    Tujadili kuhusu Nissan X-trail

    Ahsante sana Sent using Jamii Forums mobile app
  8. rantheb

    Naumia sana kubaguliwa na wazungu kila wakati

    Si Si urudi nchini ! Unakimbia nchi yenye asali na maziwaaa! Unakimbia bustanini! Tanzania ni bustani ya Edeni.......unakwenda nchi za mabeberu.........Dr. JPM pambana wekeza kwa miundombinu na kwa kasi yako hii UWE RAISI WA MAISHA tu!
  9. rantheb

    Upendo : Walimu wa Mbeya Mjini wamtembelea mbunge wao bungeni Dodoma

    Kwa nyongeza tu! Waliopigaaa nae picha wanampa ishara ya kidole.....chenye alamaaa ya CCM oyeeee!
  10. rantheb

    Upendo : Walimu wa Mbeya Mjini wamtembelea mbunge wao bungeni Dodoma

    Si kweli! Tuliyemtembelea ni Mh. Naibu Spika Dr. Tulia..... Mh. Sugu aliomba tupige nae picha tuuu, sisi kama watanzania tukampa fursa yeye kaanza kutafuta cheap popularity! Majibu yake atapata 2020!
Back
Top Bottom