umeongea point sana na hii kitu sio tu kwa simb ahata yanga ikianza kukosa matokeo muda wowote ule mashabiki wataanza mdomo...nadhani hawa matajiri watengeneze vilabu vyao maana uwezo huo wanao
A
Aisee we jamaa umeongea point sana, kila siku huwa nawaza kwanini DSM hairejeshewi kama inavyoingiza??, yan huwa inafikirisha sana sehemu inayo changia pato la taifa kwa zaidi ya 18% lakini ndo sehem ambayo wanachi wake wanazidi kuteseka, kuanzia miundombinu ya usafiri na barabara na maji. Ki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.