Recent content by Rangooo

  1. Rangooo

    JamiiForums Tanzania Hii picha ya tabasamu la huyu Mwanamama Afande Magereza juu ya kumbato la Lissu na Msigwa limenikosha sana

    Kitu naamini ni Tundu Lissa anaweza akawa yuko ndani ila sidhani kama anaishi kwa mateso, naamini anakula vizuri, analala pazuri na huduma zote anapewa kwa usahihi
  2. Rangooo

    JamiiForums Tanzania Uzalendo wa Mwigulu ni tunu kwa taifa

    Hivi nini maana ya uzalendo??🤔
  3. Rangooo

    JamiiForums Tanzania Baada ya maombi nimepata kazi,ashukuriwe Mungu

    Hongera mkuu your story matches exactly with mine kasoro kuoa na kanisanj ila kila kitu kinafanana…inshort MUNGU ukimuomba kwa dhati anakupa mimi ni shuhuda na sitoacha kuwambia watu hivi…MUNGU mkubwa sana aisee
  4. Rangooo

    JamiiForums Tanzania Jamal Bakhresa: TFF imeharibu mpira wa Tanganyika. Azam FC nitaihamishia Zanzibar

    Ndiyo ila kama ungekua unafatilia ligi ya England vizuri kila wiki ungeona jinsi makocha wanavyolalamika makosa ya marefa kila wiki. Halafu mpaka leo hatuna VAR, hii VAR ililetwa rasmi sababu wanafahamu fika marefa huwa wanakosea na hawaoni kwa wakati makosa uwanjani…wakulaumiwa ni TFF na bodi...
  5. Rangooo

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Kiwi Shoe Polish Mjitafakari

    Nadhani tayari wanaifanya kama identity kwao 😂…ila wamesustain sana
  6. Rangooo

    JamiiForums Tanzania Jamal Bakhresa: TFF imeharibu mpira wa Tanganyika. Azam FC nitaihamishia Zanzibar

    Tatz [URL unfurl="true" media="instagram:DaYwGqDods Tatizo mnaongea tu hiyo ligi ya zanzibar nani huwa anafatilia?…kuna ligi duniani ambayo hakuna hayo mambo ya marefa??…EPL kuna VAR na ndo the best league in the world ila kila weekend kuna malalamiko ya kiuamuzi, Hawa Azam waendeshe timu...
  7. Rangooo

    JamiiForums Tanzania Utabiri wako ni upi hii raundi ya 16

    1. Argentina 2.Portugal 3.Morocco 4.France 5.Colombia 6.England 7.Norway 8.USA
  8. Rangooo

    JamiiForums Tanzania IGP barabara ya Morocco Mwenge kila siku kuanzia saa 11 Jioni mpaka saa 1 Ni majanga

    Unaweza kalishwa kwenye mataa dakika 20
  9. Rangooo

    JamiiForums Tanzania Umasikini na aibu

    Pole sana sister, situation ya kupoteza kila kitu naielewa nmepitia kila mtu anakuona hufai…lakini naomba nikushauri kitu na kwa dhati kabisa ya moyo wangu nasema hivi kama shuhuda…wengi huwa tukikosea au kufanya dhambi kubwa tunakua mbali sana kiimani, ila Mungu ukifanya toba kwa dhati kabisa...
  10. Rangooo

    JamiiForums Tanzania Wazee wa mikeka, uliwahi kushinda kiasi gani kikubwa cha pesa?

    toa ushahidi aisee
  11. Rangooo

    JamiiForums Tanzania Nini kinaendelea ndani ya Klabu ya Simba?

    umeongea point sana na hii kitu sio tu kwa simb ahata yanga ikianza kukosa matokeo muda wowote ule mashabiki wataanza mdomo...nadhani hawa matajiri watengeneze vilabu vyao maana uwezo huo wanao
  12. Rangooo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Nchi na kilio cha maji

    A Aisee we jamaa umeongea point sana, kila siku huwa nawaza kwanini DSM hairejeshewi kama inavyoingiza??, yan huwa inafikirisha sana sehemu inayo changia pato la taifa kwa zaidi ya 18% lakini ndo sehem ambayo wanachi wake wanazidi kuteseka, kuanzia miundombinu ya usafiri na barabara na maji. Ki...
Back
Top Bottom