Recent content by Rangi za nyumba

  1. Rangi za nyumba

    CUF KUSUSA NI TURUFU AU GALASA?

    Cuf kumbuka wana wabunge kwenye bunge kuu la muungano na madiwani bara kila jimbo sasa tatizo liko wapi ? Wamewaachia ccm waendeshe kama wataweza tekeleza mahadi zao wao wenyewe wakishindwa kutimiza malengo ya wazanzibar 2020 wajiandae kuuwa wazanzibar wote huu ni mtego mkubwa sana kama ccm...
  2. Rangi za nyumba

    Rais Magufuli atekeleza agizo la Makonda la ukaguzi wa silaha, apeleka bunduki zake

    Sijaona sababu ya watu humu kukosoa kwa kila jambo huyu ndiye kwa sasa mtz namba moja kwa hiyo sioni sababu ya kumkosoa anaonyesha ni jinsi gani anatekeleza kwa vitendo maagizo ya viongozi wenzake bila kuwazalau big up jpm
  3. Rangi za nyumba

    Dalili nyingine kuwa upinzani wa kweli umekufa ni hii hapa...!

    Atakuwa nguruwe tu siyo tena ng'ombe
  4. Rangi za nyumba

    SSRA: Ufafanuzi kuhusu uraia wa Dr. Carina Wangwe

    Hakuna kunyamaza tuna watanzania wenye sifa hatuna haja ya kugawa rasilimali za nchi kishoga shoga
  5. Rangi za nyumba

    SSRA: Ufafanuzi kuhusu uraia wa Dr. Carina Wangwe

    Siyo tukuletee soma mwenyewe katiba pia kama walikuwepo basi sheria zirivunjwa tusigawe nafasi nyeti kwa waveni nirahisi nchi kuuzwa ? Mtanzania take care
  6. Rangi za nyumba

    Jifunze ushirikina hapa

    Mshana Jr naomba kuuliA biashara na uchawi viaendana?
  7. Rangi za nyumba

    Mtazamo: Kuna bara moja huenda "human evolution" bado inaendelea

    Yaaani umenena maprofesa wote vimeo tuu
  8. Rangi za nyumba

    Korea Kaskazini: Kuzimu iliyopo duniani

    Huuu uongo kabisa haiwezekani hawa jamaa kuwa IQ ndogo alafu waweze kuwa wako juu kuliko nchi kama Canada nk ila wtz hata wakala wa vipimo ameshindwa kutumia scale za kupimia mafuta anapimia fimbo ? Heheheheeeee IQ ndogo
  9. Rangi za nyumba

    Mkinga: Mkapa alimtisha Magufuli IKULU

    Kwanini TRA wasianzishe benk yao ya kukusanya mapato yote kuanzi machinga mpaka muuza dagaa ? Kwanini wanatumia bank za marafiki? Ianzishwe bank ya tra kwa ajiri ya kukusanya kodi
  10. Rangi za nyumba

    Rai: Waziri aliyetuma SMS kwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo awajibishwe!

    Huyu atakuwa anaongelea mungu kikwete na wafuasi wake
  11. Rangi za nyumba

    Rai: Waziri aliyetuma SMS kwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo awajibishwe!

    Sasa lowassa kafikaje ?hapo au ndiyo ujinga wako kila kitu lazima uweke unafiki mbele utakuja nyongwa AAA!!! Jiangalie sana hii jnsu haina siasa watu wako kazini mtu kakosea lazima awajibike siyo kuleta ulumumba hapa ukome kabisa nyani weee
  12. Rangi za nyumba

    Msekwa: CCM imepoteza sifa asili

    Mipasho time ccm bana yaani hukurupuka tu lowassa kawambiwa nendini mahakamani na mhusika mkuuu wa ufisadi kamtaja kikwete kaakaa kimyaaa nyie mnatumbuka mimacho tu
  13. Rangi za nyumba

    Nabii awapa mimba waumini wake zaidi ya 20, wakiwepo wake za watu huko nchini Nigeria

    Mbona picha ya polisi ni ya kibongo bana au Nigeria hivaa kama sisi
Back
Top Bottom