UncleBen
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 9,693
- 12,320
Wewe uko nchi gani ??Si ndo huyu aliyegombea uspika wa bunge akakatwa!!??
Wewe uko nchi gani ??Si ndo huyu aliyegombea uspika wa bunge akakatwa!!??
Jaribu kufikiri, usitegemee mtu akufumbue macho harafu akusaidie na kufikiriKwahiyo chama gani kinafaa kwa sasa?
Labda mrundiWewe uko nchi gani ??
Mipasho time ccm bana yaani hukurupuka tu lowassa kawambiwa nendini mahakamani na mhusika mkuuu wa ufisadi kamtaja kikwete kaakaa kimyaaa nyie mnatumbuka mimacho tulile fisadi lingine la CHADEMA lililohukumiwa na bunge kuwa fisadi la kutupwa CHADEMA mkalipa ugombea Uraisi unalisemeaje?
Simiyu yenu msekwa kasema kweli coz uvccm hamna adabu tena mnapiga wazee ...warioba na wew naona umemtoleasekwa maneno ya kuudhi.Mzee msekwa kaisha yupo kama kubenea tu mda wote kuwanza shanga na kuhangaika na mambo yasiyo ya msingi.
Kitu chochote kile kikipoteza sifa yake ya msingi hatua ya kwanza ni kukiacha, mfano:Ameyasema hayo kwenye kitabu chake cha kuadhimisha miaka 39 tangu kuzaliwa kwa ccm. Amesema ccm imepoteza asili yake ya kutetea wanyonge
Chanzo: Magazeti ya leo
HahahahahaaaMipasho time ccm bana yaani hukurupuka tu lowassa kawambiwa nendini mahakamani na mhusika mkuuu wa ufisadi kamtaja kikwete kaakaa kimyaaa nyie mnatumbuka mimacho tu
kitu ch
Kitu chochote kile kikipoteza sifa yake ya msingi hatua ya kwanza ni kukiacha, mfano:
1. Mke au mume akipoteza sifa ya uaminifu katika ndoa- uwezekano mkubwa ni kuachana
2. Nguo/ Kiatu ikipoteza uzuri wake- unaacha kuivaa unatafuta nyingine
3. Gari au kifaa kingine kikipoteza upya wake- unaachana nalo
4. Chama cha siasa kikipoteza sifa yake ya Msingi- unaachana nacho, kwa nini unaendelea kubakia huko
Mzee msekwa kaisha yupo kama kubenea tu mda wote kuwanza shanga na kuhangaika na mambo yasiyo ya msingi.
Mipasho time ccm bana yaani hukurupuka tu lowassa kawambiwa nendini mahakamani na mhusika mkuuu wa ufisadi kamtaja kikwete kaakaa kimyaaa nyie mnatumbuka mimacho tu
unaambiwa hivi , siku ya mwisho kila goti litapigwa , huyu mzee anapata wapi ujasiri wa kujitenga na ccm ?Maskini ndio amejua leo nashukulu mungu sjawai kuwa mwanachama wa ccm
Mkishakosa hoja mnakuwa watusi na kutafuta wahanga kuwasulubu mpaka na matusi ya nguoniKingine alichosahau si tu wafanyabiashara kujipenyeza kwenye vikao vya CCM kuliharibu chama lakini pia viongozi waliokuwa wa juu kama yeye kujipenyeza kwenye vikao vya bodi vya wafanyabiashara kama Vodacom AMBAKO YEYE ALIKUWA board member.Kujipenyeza huko kwa viongozi wa juu kama yeye kuliwapa GO ahead WAFANYABIASHARA NAO KUJIPENYEZA VIKAO VYA CCM kwa sababu ya hiyo kukaibuka UNHOLY ALLIANCE kati ya viongozi wa juu wa CCM na Wafanyabiashara wakubwa kwa pamoja wakaitengeneza CCM isiyojali wanyonge.
Msekwa kachangia hiyo hali
Hawamshindi Yule Mzee Wa NGADA / MSUBA Na GOMBA!!!! Nadhani Yule Ameona Wanapata Tabu Kujifichaficha!!! BORA Wale Tu Vitu Vyao Bar!!!!!Mzee msekwa kaisha yupo kama kubenea tu mda wote kuwanza shanga na kuhangaika na mambo yasiyo ya msingi.
mtu anatukana kivuli chake kuwa kibaya wakati kinamwakisi yeye mwenyewe
Jitumekaptura kaptura lini nitavaa suruali ndefu nifaaidi keki ya taifa?
HahahahaaaaaNa sifa yake nyengine ambayo hakuisema ni chama KISICHOAMBILIKA na wanachama wake hawapendi KUKOSOLEWA.