GPTZ
Member
- Sep 27, 2015
- 84
- 24
Afande shikamoo,
Yaani huu mtaa umefululiza kwa matukio ya ujambazi wa kutumia silaha.Walianzia kwa mtu mmoja (simjui jina) wakamkosa kosa kumuua, wakavamia kwa bwana mmoja anaitwa Mazongera karibu kabisa na kituo kidogo cha polisi Karakata, sasa Mungu saidia hawakumkuta wakaitesa familia yake.
Juzi wamekuja kuvamia gesti moja hapa mtaani matukio yote ni mfululizo na haipiti wiki.Hofu imetanda hata kulala ndani ya nyumba zetu tunaogopa Ukisikia mpasuko hata wa tairi ya gari unajua ni hao.
Hawa jamaa waovu kwa maana hata wanamvamia mtu bila kuwa hakika kama anazopesa hama lah.Nikuombe mkuu wa polisi; Nakujua wewe kwamba nimchapa kazi tuma kikosi maalumu kukibaini kikundi hiki kiovu nakikamatwe haraka sana.
Mpaka sasa naandika huu uzi nasikia kitu kama risasi mtaani..
Yaani huu mtaa umefululiza kwa matukio ya ujambazi wa kutumia silaha.Walianzia kwa mtu mmoja (simjui jina) wakamkosa kosa kumuua, wakavamia kwa bwana mmoja anaitwa Mazongera karibu kabisa na kituo kidogo cha polisi Karakata, sasa Mungu saidia hawakumkuta wakaitesa familia yake.
Juzi wamekuja kuvamia gesti moja hapa mtaani matukio yote ni mfululizo na haipiti wiki.Hofu imetanda hata kulala ndani ya nyumba zetu tunaogopa Ukisikia mpasuko hata wa tairi ya gari unajua ni hao.
Hawa jamaa waovu kwa maana hata wanamvamia mtu bila kuwa hakika kama anazopesa hama lah.Nikuombe mkuu wa polisi; Nakujua wewe kwamba nimchapa kazi tuma kikosi maalumu kukibaini kikundi hiki kiovu nakikamatwe haraka sana.
Mpaka sasa naandika huu uzi nasikia kitu kama risasi mtaani..