Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,912
- 11,324
Richard KaseseraRichard kasusura
Huyu ni Mnyakyusa wa Ibungila Tukuyu-Mbeya, hawezi akawa Kasusura majina ya wahaya!
Richard KaseseraRichard kasusura
Tatizo lako akili zako hazikutumi kusoma, Nenda kwenye ilani ya CCM utaona vyote hivyooWanaruka ruka tu ka minyumbu ya Serengeti hakuna wanachokifanya. Mimi naishangaa sana hii ya tano, sion vision, sion strategy.. Naona misaragambo huyu kaibuka na huku kutwaa kufukuzana kazi za msingi hakuna..
Haina shida, hapo anataka nchi anayoiongoza iweje kwa maana anatafuta misingi kwanza mbele ya safari hatakuwa na shida mbele ya safari, ni suala la muda tu!!Magufili ni Rais pia ni Waziri wa kila Wizara!!Sijapata ona serikali inayo endeshwa kiajabu kama hii yetu!
Head of the State kachukua madaraka yoye toka kuwa mchumi na kiongozi wa bodi za kupanga mishahara ya watumishi kulingana na inflation hadi kuwa Chief Justice kuwafunga wasio na kazi hadi kuwa Waziri Mambo ya ndani kukamata wacheza bao hadi kuwa waziri wa Fedha kukagua bandarini na mengineyo mengi!
HahaaaWapo hata juzi mwigulu alikua anawafukuza kweleakwea kwa miluzi uko singida kwetu.
Utaonaje wakati huna machoWanaruka ruka tu ka minyumbu ya Serengeti hakuna wanachokifanya. Mimi naishangaa sana hii ya tano, sion vision, sion strategy.. Naona misaragambo huyu kaibuka na huku kutwaa kufukuzana kazi za msingi hakuna..
Hata Ile shtukiza shtukiza, fukuza, Mara simamisha imepungua angalau wafanyakazi wanapumua .kulikua na mazoea ktk utawala wa awamu ya nne kwa baadhi ya mawaziri kuonekana kama mawaziri wenye utendaji uliotukuka kiasi kwamba kuna wakati ccm walipita kwa wananchi kuwanadi wakiwatumia kama mfano wa kuonyesha uhai wa serikali ya awamu ya nne awamu hii hali ni tofauti sana kwani hakuna yeyote anaeonekana kuchomoza akamzidi walau majaliwa ukiachilia mbali rais mwenyewe mawaziri wote chini ya magufuli wanaonekana wa kawaida sana unadhani tatizo lilikua udhaifu wa rais tulie kua nae wamepunguza utendaji changamoto zimepungua au wanafanya kazi ila wamezidiwa!?
kulikua na mazoea ktk utawala wa awamu ya nne kwa baadhi ya mawaziri kuonekana kama mawaziri wenye utendaji uliotukuka kiasi kwamba kuna wakati ccm walipita kwa wananchi kuwanadi wakiwatumia kama mfano wa kuonyesha uhai wa serikali ya awamu ya nne awamu hii hali ni tofauti sana kwani hakuna yeyote anaeonekana kuchomoza akamzidi walau majaliwa ukiachilia mbali rais mwenyewe mawaziri wote chini ya magufuli wanaonekana wa kawaida sana unadhani tatizo lilikua udhaifu wa rais tulie kua nae wamepunguza utendaji changamoto zimepungua au wanafanya kazi ila wamezidiwa!?
Dc wa Iringa anapiga kazi,Apandishwe tu cheo,aletwe kinondoniZamu ya wakuu wa wilaya sasa, makonda kishachukua mkoa, sasa sifa zimehamia kwa mkuu wa wilaya ya iringa, sijui anaitwa nani yule, full sifa
Nyumbu katika ubora wakoWanaruka ruka tu ka minyumbu ya Serengeti hakuna wanachokifanya. Mimi naishangaa sana hii ya tano, sion vision, sion strategy.. Naona misaragambo huyu kaibuka na huku kutwaa kufukuzana kazi za msingi hakuna..
Magufili ni Rais pia ni Waziri wa kila Wizara!!Sijapata ona serikali inayo endeshwa kiajabu kama hii yetu!
Head of the State kachukua madaraka yoye toka kuwa mchumi na kiongozi wa bodi za kupanga mishahara ya watumishi kulingana na inflation hadi kuwa Chief Justice kuwafunga wasio na kazi hadi kuwa Waziri Mambo ya ndani kukamata wacheza bao hadi kuwa waziri wa Fedha kukagua bandarini na mengineyo mengi!
Kapiga marufuku sukari za nje wkt Kyela 100% tulikuwa tunatumia sukari ya Malawi!Sasa wananchi wanalanguliwa sana na maisha yanazidi kuwa magumuMkuu mimi nilitaka nibakishe kidogo mwenzangu umemaliza na sasa sina cha kuchangia. Kwa mara yangu ya kwanza nasema hivi bora rais angekuwa Dr Kalokola, bora hata angekuwa Lowassa. Maana hali ya maisha ya watu wakawaida kabisa yanakuwa mabaya siku hadi siku.
Na haogopi hata Luba, wee mbele ya ujiko.Ndiye yule aliyekuwa anaongea na waziri Huku akiwa amesimama katikati ya dimbwi la maji??
Tumezoea maisha madili madili, sasa madili madili yamepotea!!Kapiga marufuku sukari za nje wkt Kyela 100% tulikuwa tunatumia sukari ya Malawi!Sasa wananchi wanalanguliwa sana na maisha yanazidi kuwa magumu
Then Rais anayefikiria kupunguza mishahara ya vijana wake hafai kurudishwa madarakani
Mmetuongezea sana gharama za maisha kwa kauli zenu za bila kutafitiTumezoea maisha madili madili, sasa madili madili yamepotea!!