Duu sasa umehamia kodi ya mejengo penda kuuliza mkuu siyo kurukaruka kama maharage yaliyopo jikoni.Mimi ni mfatiliaji sana wa power breakfast Clouds na nilimsikia huyu Mkurugenzi Kayombo akitaja kuwa nyumba za kawaida ni 10,000 na kila gorofa ni 50,000 kama hilo gorofa mmiliki ni mmoja kama ni...
Mkuu mbona kampuni zinalipa 30% toka kwenye faida? Kwa wafanyabiashara wadogo waliopo kwenye wigo wa kulipa mbona tunajua huwa ni kwa awamu ya miezi mitatu kila baada ya kufanya biashara?Hebu saidia ushauri nini kifanyike
Tatizo ninaloliona ni mfumo wa ukusanyaji mapato lazima uwe na kianzio cha chini na kuendelea, ndiyo maana hapa utaona kiwango kilichowekwa kimezidi kidogo bei uliyotoa kwenye mtandao.Bila kuwa na kianzio nadhani kila mtu atakuja na bei zake?Vipi yule ambaye sasa atasema kapewa bure inamaana...
Hili la elimu ni sisi wananchi wenyewe mimi ni shuhuda huwa naudhuria sana elimu zao tena huwa tunauliza sana maswali nakumbuka kuna baba mmoja alijitambulisha anatoka Makao Makuu alikuja na vijana wadogo sana mwanzo nikadhani wale vijana wapo wapo tu ila walipoanza tufundisha sikuamini...
Kiukweli azam mnasikitisha mno.Mlianza vizuri ila kwa sasa mmekuwa kaama matapeli tu.Mtu unaweka 9,000 au zaidi lakini ile chanel yenu ya matangazo ya extra siku mkiamua weka bongo movie kweli bila aibu mnatuchaji 1,000 tena bila kujali kwamba tumekuwa tunalipia 9,000 au zaidi kipindi...
Mleta mada napenda nikushauri kuwa katika shauri hili zipo njia mbali mbali za kuweza kukusaidia.Nimesoma presentation moja wapo ambayo nilihudhuria ya hao jamaa mamlaka ya mapato aka TRA kuwa ukiona wamekuonea ipo bodi ya rufaa na mpaka mahakama ya rufaa.nadhani fanya hivo ili wakati mwingine...
Mbona alichosemacwaziri naona sawa na Maelezo waliyotoa TRA.Mnyonge tumnyonge lakini haki take tumpe.Naona Mwandishi hakuweka vizuri maneno nimesikia vizuri ITV kuwa majengo ni 62% na siyo mapato
Azam TV mlipoanzisha TV tuliwaamini sana kuwa mgeweza let's mabadiliko na ushindani katika siko.Cha ajabu imekuwa tofauti na matarajio.
Kuanzia being ya mwezi mlianza pandisha taratibu mkaona haitoshi , bando likiisha mkawa mnakata channel zote na kuacha ile ya extra na TBC tu.Yoote hayo ni...
Labda kwa ufahamu Mdogo tu TRA navyojua hakuna Mkurugenzi yupo Kamishna, pia kusema katibu mkuu au mawaziri wapo , mheshimiwa alichosema wafanye utathmini maana yake watizame sheria na kupeleka mapendekezo.Pia Naibu Waziri alichofanya siyo kosa kama kaanza tekeleza maagizo ya mh Raising sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.