Wadau wa magari hivi hakuna namna ya kupunguza hii gharama ya TRA .

MakinikiA

JF-Expert Member
Jun 7, 2017
5,011
6,542
1549007092097.png


1549007119028.png
 
Sidhani kama inapunguzika,kama unaona kodi ni kubwa kwanini usinunue mkononi?ziko ambazo ni nzuri sana,low mileage na zimetunzwa vizuri...!
 
Tatizo ninaloliona ni mfumo wa ukusanyaji mapato lazima uwe na kianzio cha chini na kuendelea, ndiyo maana hapa utaona kiwango kilichowekwa kimezidi kidogo bei uliyotoa kwenye mtandao.Bila kuwa na kianzio nadhani kila mtu atakuja na bei zake?Vipi yule ambaye sasa atasema kapewa bure inamaana hatolipa kabisa?Kodi kweli inauma kulipa lakini ndiyo msingi wa serikali yoyote ile kupata mapato ya kujiendesha.wewe unalalamika gari, wapo wafanyakazi nao watasema ipunguzwe ambapo, wafanyabiashara nao wanataka ishuke lakini swali je ili serikali ifikie malengo yake wapi ikatoze kodi hiyo?Ni humu humu kodi tunabanwa , ila ushauri nadhani kujipanga tu kabla ya kuagiza tujibane vijihela ili tusije shindwa lipa linapokuwa limefika.
 
Kuna gari niliagiza early December inafika mwezi huu, wakati naagiza calculator ya tra ilitoa gharama za ushuru 6.4m. Sasa nimepata BL kwenda TRA ushuru umebadilika umekuwa 10m! Yaani nimechoka kabisa! Watu wanapandisha kodi Kwa kucheza na calculator yao bila kujali!
 
Pole mkuu, kuagiza gari bongo ni shidaa.
Kuna gari niliagiza early December inafika mwezi huu, wakati naagiza calculator ya tra ilitoa gharama za ushuru 6.4m. Sasa nimepata BL kwenda TRA ushuru umebadilika umekuwa 10m! Yaani nimechoka kabisa! Watu wanapandisha kodi Kwa kucheza na calculator yao bila kujali!
 
Kuna gari niliagiza early December inafika mwezi huu, wakati naagiza calculator ya tra ilitoa gharama za ushuru 6.4m. Sasa nimepata BL kwenda TRA ushuru umebadilika umekuwa 10m! Yaani nimechoka kabisa! Watu wanapandisha kodi Kwa kucheza na calculator yao bila kujali!
hapo itakuwa invoice yako kubwa kuliko bei elekezi ya TRA
 
Kuna gari niliagiza early December inafika mwezi huu, wakati naagiza calculator ya tra ilitoa gharama za ushuru 6.4m. Sasa nimepata BL kwenda TRA ushuru umebadilika umekuwa 10m! Yaani nimechoka kabisa! Watu wanapandisha kodi Kwa kucheza na calculator yao bila kujali!
Hivi inakuaje kodi iwe tofauti hivyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hapo itakuwa invoice yako kubwa kuliko bei elekezi ya TRA
Hapana. Invoice yangu ndogo. TRA wanatumia CIF yao kwenye Calculator. Wakati naagiza bei yao TRA ilikuwa ndogo, mwaka mpya ulipoanza wanapandisha CIF yao. Gari hata ununue $10 TRA wanatumia CIF yao kwenye Calculator.
 
Back
Top Bottom