Wewe ndio unamshawisha ama ww ndio umemshikia akili unataka afanye unachokitaka ama unataka afanye anachoona ni sahihi je asipofanya kama unavyotaka itakuaje?
Faida ziko nyingi moja kubwa vijana Arusha wamekua wanafanya kazi na si kufanya maandamano yasiyo na tija pili arusha vurugu zimekoma mana kiongozi wa vurugu hayupo na tatu wananchi wamepatabmuda wa kulijenga taifa kwa kufanya shughuli zao mana angekuwepo uraiani kila mara mikutano ya kuwatukana...
Hajasema kesheni mkiwapigia wengine makelele kuomba nibtofauti na makelele wanayofanya walokole huwa ni kero sana kwa wengine kitu ambacho hata mwenyezi mungu hapendi ibada yako isiwe tabu kwa wengine
Hamnaga dogo jakaya alifanya zaidi ya hivi alikua anawapa mpaka bajaj walemavu mbona hamkuponda sasa yeye kumpa mlemavu milion moja ya mtaji mnauliza amezitoa wapi nyie ndio wale wale makonda kaja na wauza unga mmegeuka na kuanza kuwatetea hamueleweki mnataka kipi akifanya shida asipofanya shida duh
MBUNGE ALIULIZWA HELA ZA MFUKO WA JIMBO ANAPELEKA WAPI AKAKOSA MAJIBU SASA MNATAKA RAIS AFANYE NN ZAIDI YA KUWAELEZA WANANCHI UKWELI MNACHAGUA WABUNGE VIHIYO MNAMLAUMU RAIS MAENDELEO YASIPOKUJA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.