Man Thom
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 732
- 902
There are many stressful situations at work, at home, on the road and in public places. We may feel stress because of poor communication, kwamba mtu anakubali kufa na lake moyoni dah which is very bad, all in all stress zinazoletwa na mahusiano hasa mwanamke anapokudharau ndani ya nyumba seriously utaomba dunia ipasuke uingie ndani, kuna mjomba wangu aliwahi kupiga mke wake mpaka akazimia siku tatu, kwa harakaharaka akadhani ameua naye akaamua kujitundika mtini! sema yote hapa, jadili yote hapa ila usiombe yakukute aisee!