Maisha ndani ya chama yanakutaka utumikie chama kwanza then utumikie wananchi
Huwez kutumikia ukoo kama familia yako imekushinda
Wanasiasa wanatenda kaz Kwa itikadi za chama ili ziwanufaishe wananchi, but kutetea maslahi ya chama Kwa faida Za chama mbele ya taifa si sahihi
Uzalendo unajengwa...
Kweli chadema inakuwa lakn nasikitika sisikii kanda ya kusini wala harakati za kichama hazifanyiki mkijua watu wa kusini wanatka ukomboz hususani kwenye gesi, e chadema look also kusini
Ktk matembez yangu huko Kwa muda niliona watu wanaikubali chadema japo bado hakina mizizi huko pia harakat Za...
Pengo alianza kutofatiana na wenzake ndani ya.baraza hakuwa na aibu akatoa waraka wake juu ya katiba, pia now baada ya baraza tena kukaa na kuonyesha nia ya kuwatetea wananchi ten a waamin wake anaujua wanapotea kila cku Kwa migongano na kukosa maadili mema ya viongoz na mapadre anadiriki tena...
Now tafuta moja matata ya lobbyist
Utakutana na Harry Kim , maria yoo, pamoja na madam chae bila kusahau James Lee wazee wa lobbying and dead weapons deals dealing in international politics
Kama uaminifu kaz utawezaji kumwamin huyo zito wako
panua uwanja wako wa kufikir siasa ktk dunia ibaki ktk kuamin maneno ya mtu wala matendo yake bali the true identity inside of his thoughts, and actions, pia outside ya yale anayofanya na kutenda mbele yenu.
Unafsi unasomwa in the way you...
Na wanaomfuata hawajui kama wanatumika
Rafiki wa kike.as zito.aliyekuwa.akipokea.pesa.kutoka benk Za tz kisha kumtumia zito, zito na wajanja wenzie waliotaka kuiteka bavicha awali kabla ya matokeo kufutwa wakizisambaza fedha through mpesa Kwa viongoz wa wilaya matawi na mikoa ili wamsapoti zito...
Simple answer
Jr kakuambia si mnyenyekevu so hawez kunyenyekea anapokosa jhakubali changamoto ndio maana anabaki ktk wingu la fikra zake tu
Si muungwana maana muungwana ni vitendo hayo ya leo huko act tuliyajua kabla hata alipoulizwa alikuwa akikataa but leo anaongoza jahaz linalotegemea upepo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.