Wivu tu unawasumbua muacheni jmk apumzike kalifanyia taifa hili mambo makubwa sana kama binadamu naye ana mapungufu yake hata mleta hoja pia unayo mapungufu yako
Hili la mbowe nalo ni jipu nimecheka sana leo siku yangu ilikuwa mbovu lakini angalau kwakucheka huku imekuwa nafuu yangu tena alisema katokea dirishani na treni haiwezi kumsubiriu
Watu wanapenda mteremko mzee hawawezi kukuelewa unachomaanisha wengine bado kula kulala sasa ukiwaambia kujitegemea unakuwa msamiati mgumu kwao kumbe inawezekana kabisa ardhi yenye rutuba, madini, bandari,maliasili na utalii n.k ni sehemu tu ya sababu ya tz kujitegemea
Ni kweli mkuu tena magufuli kwa spidi hii hatishiwi nyau anataka tz ndiyo iwape watu misaada sababu tunayo na uwezo tunao na rasilimali tunazo na zimeshapata msimamizi hapa kazi tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.