mimi ni mwanachuo wa University, nathibitisha wanayoyasema wenzangu ni kwel kabisa, mimi ni wa transfer na ni muhanga wa hzo siku 60, mpaka leo ni zaid ya siku 100 hatujapata kitu, juzi ndo tumeambiwa majina yetu yanashughulikiwa hvyo tusubir baada ya wiki mbili,,sijui rais Magufuli analifahamu...
wa tz tufikie wakati tuache unafiki, sisi ndo tulikuwa wakwanza kumlalamikia mungu atupe kiongoz mchapakaz, leo hi ndo wa kwanza kulaumu,,kama ulitegemea maguful akiingia madarakan atakutetea we uliyejenga mabonden na sehemu zisizoruhusiwa hlo sahau,, HAPA KAZ TU, hakuna kuchat mtandaoni wakati...
Habari za asubuhi wakuu, niko chuo kikuu mwaka wa kwanza, sasa nataka nibadili jina langu ninalotumia chuoni, Je itawezekana? na je, kutakuwa na madhara yeyote TCU na HESLB kwenye boom langu? Naombeni ushauri jamani. USHAURI WAKO NI BORA KULIKO DHIHAKA NA KEBEHI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.