Watuache Waafrika tuendelee na kanuni zetu za kiutawala, wao wanataka tufuate kanuni yao wanayoita democracy! Sisi system yetu ya kiutawala ni kama zile Chifu Mkwawa, Mtemi Mirambo, Chifu Isike, nk. Hatutaki watulazimishe wanayoyataka wao
Ww unafikiri uongozi lazima uwe na degree? Acha kumsimanga huyu dada kwani viongozi wangapi wenye PhD. hakuna kitu kama Anna Tibaijuka, Prof. Mahalu, Prof. Muhongo, etc. Acha ubabaishaji we shoga wa kitongoji. Je, dada yako aliwahi pata hy degree unayoita ya chup****. Kila mtu ana uhuru wa kutoa...
Ukweli ni kuwa Plan hizi hazina strategies za ukweli katika kulijenga taifa hili kwa dhati,kwani badala ya kutoa vipaumbele kwa bandari zilizopo za Dar,Mtwara na Tanga pamoja na Viwanja vya ndege tulivyonavyo vya Dar,Mwanza,Mbeya na Kilimanjaro. Sasa serikali inaonekana kwenda mrama kwa kubuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.