Bob
JF-Expert Member
- Sep 10, 2007
- 293
- 63
Kujenga bandari bagamoyo sina tatizo nalo. Bandari ya DSM ina kina kifupi meli za mizigo kubwa haziwezi kuingia, wakati huohuo mzigo kwenda/kutoka majirani zetu (land locked) inaongezeka exponentially. To me, it is a big long-run strategic decision.
Kwa kuongeza Dar imejaa, miundombinu yake imekwishaelemewa.
Kuhusiana na uwanja, sidhani kama kuna mpango wa kujenga international airport Bagamoyo kwa sasa. Nijuavyo ni kuwa kuna haja ya kutenga sehemu (reserve) kwa ajili mahitaji ya uwanja mkubwa baadaye. Kwa sasa pajengwe uwanja mdogo tu (to safeguard the reserved land). Sio kitu cha kushandaza kuwa na zaidi ya kiwanya kimoja kwenye mji.
Jiulize, Nairobi kuna viwanja vingapi?
Ninawasilisha.
Kwa kuongeza Dar imejaa, miundombinu yake imekwishaelemewa.
Kuhusiana na uwanja, sidhani kama kuna mpango wa kujenga international airport Bagamoyo kwa sasa. Nijuavyo ni kuwa kuna haja ya kutenga sehemu (reserve) kwa ajili mahitaji ya uwanja mkubwa baadaye. Kwa sasa pajengwe uwanja mdogo tu (to safeguard the reserved land). Sio kitu cha kushandaza kuwa na zaidi ya kiwanya kimoja kwenye mji.
Jiulize, Nairobi kuna viwanja vingapi?
Ninawasilisha.