Habarin Wadau,nko Ruvuma Huko Nataka Kuanzsha Biashara Ya Kukodisha Na Kuuza Kanda Za Cd,vp Ina Athar Gan Hii Biashara?na Je Kwa Sh.laki Tano Itatosha?
Mimi Si Mwanasiasa,ila leo Natoa Kilio Changu Kwa Wabunge Wa Tunduru Kupitia CCM,mh. Mtutura na Ramo Makani,kwakweli mpaka leo hakuna cha kujivunia walichotufanyia hawa wabunge,hasa hasa huyu injinia Ramo Makani.
Kwakweli inasikitisha kuona Tunduru mpaka leo maendeleo hakuna na wao ndo...
Hana Lolote Huyo Shekhe,kazi Ya Kuwagawa Waislam Kimakundi,na Kusema "waliouona Mwez Ni Ansar Sunna,tuendelee Kufunga"kwan Ansar Sunna Syo Waislamu? Wana La Kujbu Kwa Allah Hawa Viongoz Wanaoungana Na Makafr Kuukandamiza Uislamu,huyu Na Muft Wa Bakwata C Ndo Wana Support Mashekhe Wahojiwe Na...
We Nenda Pale Ofc Za Halmashaur Tunduru Pale Idara Ya Elimu Kwenye Mbao Za Matangazo Kuna Jamaa Anaitwa David Yuko Simiyu Anataka Aje Tunduru,kuna Contact Zake Pale
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.