Recent content by rajack

  1. R

    Natafuta mume aliye serious

    Bado hajapatikana, ukija kwenye pm jielezee wasifu wako wote, usiache namba tu, usipo jielezea kwa kirefu ukaacha namba tu ctakujibu, consider your self your disqualified.Karibuni
  2. R

    Natafuta mume aliye serious

    nimekuelewa, nikijaribu kuweka waz kipinataka na kipi ctaki
  3. R

    Natafuta mume aliye serious

    Asante
  4. R

    Natafuta mume aliye serious

    mtaoa tu kila mtu anae aliandikiwa ila kumjua ndio pagumu
  5. R

    Natafuta mume aliye serious

    cja wadharau, kila mtu ana aina kitu anacho penda, kama nime kuuz sory
  6. R

    Kurudishwa kwenye Government Payroll

    Ndugu kama hukufuata process za kuacha kazi nivigumu sana kurudishwa kwenye payroll
  7. R

    Kurudishwa kwenye Government Payroll

    unaruhusiwa kujiendeleza kielimu but unapaswa kufuata taratibu usiondoke kienyeji tu
  8. R

    Natafuta mume aliye serious

    Natafuta mume wa kunioa, awe mkristo Elimu: Diploma na kuendelea Kazi: Awe na shuguli yoyote halali ya kumuingizia kipato, Mwonekano: Asiwe mfupi sana na asiwe mnene sana. Sehemu: Awe anaishi Dar, Moro, Pwani, Tanga, Moshi & Arusha Umri: 28-32 WASIFU WANGU DINI: Mkristo Umri: 25 Kazi...
  9. R

    Nani anapaswa aanze au wote?

    Na wakati mwingine nikimtumia meseji ya love hajibu ila nikituma meseji ya kitu kingine kisichohusu Love anajibu haraka. hapo umependa ila hujapendwa
  10. R

    Nimekata Tamaa ya kupata Mke hapa jamii

    hakuna mwanamke anaetaka mwanaume asie na kipato, maisha mtayasongesha VP bila kipato
  11. R

    Rafiki wa kike na mke mwema maishani anatafutwa

    hiyo elimu wastan Ndio elimu gan?
  12. R

    Natafuta mchumba alie serious kuoa

    kisa umeambiwa huna vigezo
  13. R

    Natafuta mchumba alie serious kuoa

    bado cjapat a
  14. R

    bado sijapata

    Bado natafuta mwanaume mwenye vigezo ajitokeze
  15. R

    Bado sijapata

    Mwanaume mwenye vigezo ajitokeze.
Back
Top Bottom