Natafuta mchumba alie serious kuoa

Natafuta mchumba alie serious kuoa

Ww upo serious c ukishapewa namba tu! Unaanza kutangaza matatizo, mara hela ya kusuka, vocha, ooh nina shida ya 20000.....sasa km ww c wa hivyo mume umepata.

mwanaume kumuhudumia mke/mchumba nikitu cha kawaida na niwajibu kama we huwez pole na utasaidiwa na wenzio
 
Unatafuta mchumba na wala si mume. mbona wachumba wako wengi sana ngoja waje. lakini ungebadili ukasema unatafuta mme. by the way miaka 24 bado mdogo labda kama umeopangilia kwenda na umri huo.
 
Tangu upost huu uzi tar 12 umekibu comment moja yenye kuhusu maslahi je kweli wasaka mume ama wasaka tonge?
 
ck hz kama huna elim ya chuo hupat mke. ngoja na mie nkaazme chet cha kk nkaolee.
 
mwanaume kumuhudumia mke/mchumba nikitu cha kawaida na niwajibu kama we huwez pole na utasaidiwa na wenzio


Wanaopenda na kuwaza kuhudumiwa wote huwa wanatamaa na mwanamke mwenye tamaa macho juu juu ni malaya, utasota xna!
 
Nenda kanisani kwenu, mtaani, kijijini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom