Recent content by raizen 50

  1. raizen 50

    JamiiForums Tanzania Nianzie wapi? nataka kuoa na kipato changu ni around 300k kwa mwezi

    Subir kwanza kuza kipato hata kwa miaka 2 ufike umri 30 mjue mweza wako pia kabla ya kuingia kwenye ndoa je ni mvumilivu wa hali yako, usije ukawa umemsaidia mangi dukani kumletea utamu karb ww unaend miangaiko yy anashindwa kuvumilia kipato kidogo bac mangi na boda boda hawana huruma...
  2. raizen 50

    JamiiForums Tanzania Kama umeoa au haujaoa take this

    Duhh mbona mengi sn jmn
  3. raizen 50

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Wakuu uzi ulipata washauri wengi sana hadi lengo likapotea sasa watu wameshapata tunaomba iwe muda wa ushauri wa fursa kabla hela hazijaisha. Sio tunaanza mwezi kwa shida na kazi mko kimya tukidai ujira inakuwa maneno tukumbukane muda wote kwa sasa Ile kauli mtu akiwa ananjaa anamatusi haitakuwa...
  4. raizen 50

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Kila ki2 ni tafsir 2 kwani ukilipwa tarh 23 ukaanza mwezi hadi tahr 23 si siku 30 hzo umetumikia unatakiwa kilipwa ujira wako tatzo tumekariri tarh za kwenye kalenda na sio siku zakufanya kazi
  5. raizen 50

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Siku zimeganda
  6. raizen 50

    JamiiForums Tanzania Rais Paul Kagame kuwasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku moja, atazungumza nini na Rais Samia?

    Alafu tarh 4 anakuja William ruto
  7. raizen 50

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Makato yenyewe bado hadi sasa hyo ngoma bado ngumu sana
  8. raizen 50

    JamiiForums Tanzania Tofauti ya mwalimu wa masomo ya sanaa dhidi ya mwalimu wa Sayansi

    Dah maisha safari ngumu sana yenye mafumbo ya kufanikiwa, utafika pazuri usikate tamaa kaza moyo
  9. raizen 50

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Hii ya mwezi huu hadi 23 kwakwel
  10. raizen 50

    JamiiForums Tanzania Ulifanya nini ulipogundua mshahara hautoshi tena kukidhi mahitaji yako?

    Mkuu haujasema ulipata wap mtaji wakuanza chanzo kingine cha kipato kwan mshahara hautoshi au ulikopa
  11. raizen 50

    JamiiForums Tanzania Mexico yafuata Mfano wa Samia, yazindua Bima ya Afya kwa wote

    Tuache siasa tuingie kwenye uhalisia
  12. raizen 50

    JamiiForums Tanzania Tuliopata kazi na kupangiwa Halmashauri njooni tushauriane

    Fursa huko ni kilimo kufuga au kufungua duka la mangi sasa inategemea na sehemu ulipopelekwa Kuna jamii zina wivu hawapendi maendeleo watakupiga juju ila hamna kukata tamaa utatoboa
  13. raizen 50

    JamiiForums Tanzania Licha ya kukamilika, bwawa la umeme Julius Nyerere latumika kwa 40% tu

    Dah tutachelewa sana kuendelea
Back
Top Bottom