Recent content by raizen 50

  1. raizen 50

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Vp kwel au tunamadeni ya watu
  2. raizen 50

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Uzi umetulia au umeshafungwa tukutane mwezi ujao
  3. raizen 50

    KERO Huduma za UTT ni mbaya sana siku hizi

    Kama hauko karb na ofisi zao si changamoto hyo ss
  4. raizen 50

    Naombeni ushauri kuhusu kumuoa huyu binti

    Au ulimpa 500 sio elf 50,000 kwan vitumbua ndio bei hio kimbia mbali na January hii ilivyo kuwa ngumu utakufa na stress 😩
  5. raizen 50

    Naomba mwenye ujuzi na utumishi. Nimepata kazi kwa kigezo cha diploma lakini nina degree

    Sw mkuu naomba unieleweshe hapo kwenye muondo unamaanisha labda kwa mm nina dipoma ya uhasibu na degree ya uhasibu kwahy mchakato unakuwa sw kwa mtu ni mtendaji wa kijiji ila ana degree ya human resource naomba kuelewa hapo
  6. raizen 50

    Baada ya miaka 35, mwili hufika ukomo wa ukuaji

    Na tunaokuza maumbile itakuaje na tumeshafik hyo miaka
  7. raizen 50

    Baada ya tendo la ndoa,mke wangu ameanza kuumwa tumbo,anasema nimemfanya mno.

    Uzi toka mwezi wa 7 hadi leo atakuwa ameshapona hilo tumbo
  8. raizen 50

    Sifa anazopewa Waziri wa Maji (Aweso) ni tofauti na uhalisia

    Huyu jamaa amebarikia maneno 2 hamna anachofanya wambadilishe 2 wizara jimbo lake tu maji shida na Kuna mto pangani
Back
Top Bottom