Fursa huko ni kilimo kufuga au kufungua duka la mangi sasa inategemea na sehemu ulipopelekwa Kuna jamii zina wivu hawapendi maendeleo watakupiga juju ila hamna kukata tamaa utatoboa
Ila mimi huwa najiuliza kwamba sisi tukipata kitu tunafikiria taifa kuanguka ila ukiangalia kwa wenzetu walio endelea wanapiga nyeto pia lakini wanafanya mambo makubwa tu naona hiki ni kipindi tu kwa vijana kupitia kwani kwa wenzetu walio endelea wanatengenez hadi midoli ya kupigia nyeto kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.