Recent content by RAIVAN

  1. R

    Jopo la wanasheria wa CHADEMA lishtakini gazeti la Raia Tanzania!

    Itabainika tu, ilifichwa ya Slaa baadae bayana. Kunafukuto kali ndani ya CDM.
  2. R

    Serikali/TRA yazitaka Benki kutopandisha viwango vya tozo/ VAT katika miamala yake

    Swadakta tulipe kodi, tujitegemee. Watanzania wengi tulizoea kulipiwa kodi na kusamehewa kodi, si kulipa kodi.
  3. R

    Kodi ya SimCard sasa kuanza mara moja!

    ipo siku mwisho utafika,ipo siku mnyonge wa kitanzania atakua na sauti kama walivyo na watu wengine wenye nafasi ktk...........................
  4. R

    CCM yatoa miezi 6 kwa waziri wa Elimu kujiuzulu....Vinginevyo itamtimua kwa nguvu

    hatari sana,wakati mwingine propaganda ziendane na matumizi ya akili kikamilifu.bunge la bajeti limeshapita,hivi wizara ya elimu fungu hilo itatoa wapi? Sishangai hata kidogo,hizo ni mbio kuelekea uchaguzi mkuu.
  5. R

    IGP Mwema ameibiwa upanga wa dhahabu wa kilo tatu

    duh,mbwa kala mbwa.
  6. R

    Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki watofautiana juu ya Vikao vya EALA kufanyika Arusha pekee!

    mi sijaona baya hapo,vikao viwekwe tu katika nchi wanachama wengine. Kwanini kwetu tu?
  7. R

    Warioba: Hatutachukua mawazo ya Katiba majukwaani wala kwa Mashinikizo ya Vyama vya Siasa

    Hapa Musitegemee ya kwamba mawazo yaliyotolewa na wananchi ndio yatakayo kuwepo bali Mutegemee mawazo ya mabosi wao waliowatuma kazi ndio yatakayokuwepo.Uchama na hasa UCCM ndio unaojibainisha zaidi katika mchakato huu wa katiba,matokeo yake tutapata katiba ya CCM na siyo ya Tanzania.POLENI SANA...
  8. R

    Mtanzania adakwa na mihadarati China

    tunakoelekea itakua hivi,raia yeyote wa tanzania kuingia nchi nyingine lazima afanyiwe ukaguzi maalum au akataliwe kabisa kuingia nchini humo. WENYE DHAMANA WAPO WAPI KUPIGANA NA HILI ?
  9. R

    CCM wafanyia mkutano kituo cha polisi

    Haya ndio matatizo ya kuwa na mfumo wa chama dola,prof mpangala aliyasema haya.Anaesimamia serikali ni rais,at the same time ni mwenyekiti wa CCM,Unahisi kutakua na kukemea chochote hapa.Tutegemee machafu zaidi ya haya.
  10. R

    TAHADHARI: Orodha ya TBS ya bidhaa 48 zisizotakiwa kuonekana sokoni...

    tuachieni hizohizo fake tuzitumie,kwa maana tumeshazoea na ndio tunazozipenda hizo.
  11. R

    Reginald Mengi on Nape: Muache Mungu afanye Kazi Yake

    Kwa akili zangu tu za kawaida,nape ni mchanga sana katika masuala ya siasa,ni dhambi kubwa kwake kuweza kuwatusi,kuwakebehi na kuwadharau wazee ambao hakika wamemzidi kila kitu.umri,akili,mali,madaraka na umaarufu wa kisiasa na hata masuala mengine ya kijamii.Lakini pia akumbuke kuwa suala la...
  12. R

    Serikali yafunga migodi 4 Mererani

    kufunga migodi, hiyo ni danganya toto.
  13. R

    Askari walinda Amani wa JWTZ wauawa Darfur

    kwa kawaida wa TZ wamezoea kuongopewa,hata kama jambo la kweli na analishuhudia yeye mwenyewe,kwahiyo usishangae Inno laka
  14. R

    Mkapa: Wapinzani bado ni wachanga kuwapa Ikulu!

    siasa ni hoja zenye mantiki na si jazba wala matusi.
Back
Top Bottom