Nafikiri cha msingi juwa yuko mikono salama, polisi ni polisi tu uwe umejisalimisha au umekamatwa mahabusu ni moja, hakuna mahabusu ya aliyejisalimisha na aliyekamatwa.Kuna baadhi ya taarifa nilisoma fb wamesema amejisalimisha mwenyewe .sasa cjui niamini ipi?chanzo chako tafadhali
Very nice.Very naive
Kuna baadhi ya taarifa nilisoma fb wamesema amejisalimisha mwenyewe .sasa cjui niamini ipi?chanzo chako tafadhali
Kha! Nimecheka sanaView attachment 379395jambazi mwingine huyu hapa anayejiita Dr. Rahabu Lubago, kawaliza wengi na majani ya mipapai eti anatibu vidonda vya tumbo!
Teh Teh namuona mzee wa lumumba anamsikiliza kwa makini sanaView attachment 379395jambazi mwingine huyu hapa anayejiita Dr. Rahabu Lubago, kawaliza wengi na majani ya mipapai eti anatibu vidonda vya tumbo!
Asante, anafikiri ukijisalimisha unapelekwa hotelini.Kujisalimisha polisi ndiyo kukamatwa.
Baada ya kupewa adhabu wenzake wakatii yeye kwa ujanja ujanja akabadili jina la kampuni kutokana Foreplan herbal clinic kuwa Foreplan (T) Limited na kuendelea kutoa huduma ileile, hilo ndilo kosa lake.Wizara nzima inakimbizana na mtu mmoja kila siku. Hao mtapeli wengine mbona hamuwakamati?
Huduma za afya ndo zimetengemaa?
Mbona nimekutanae pale ilala anakunywa chai, kawekwa sero ipiNafikiri cha msingi juwa yuko mikono salama, polisi ni polisi tu uwe umejisalimisha au umekamatwa mahabusu ni moja, hakuna mahabusu ya aliyejisalimisha na aliyekamatwa.
Walikuwa wanafuata watoto, ujasikia mwaka anakwambia amenusuru ndoa nyingi, wamama wakimuona hata kumshika mkono tu wanazaa hapohapoDada zetu walikuwa wanafuata nini kwa mwaka, mimi nawashangaa dada zetu sio mwaka
lubago dawa yake imethibitishwa na muhimbili,na wengi tu wamepona vidonda,mi ni shahidiView attachment 379395jambazi mwingine huyu hapa anayejiita Dr. Rahabu Lubago, kawaliza wengi na majani ya mipapai eti anatibu vidonda vya tumbo!