kaka waambie tu wenzio warekebishe waandike Rais ameridhia ombi la balozi polepole kuacha kazi,msimpigishe Rais Shot
kaka waambie tu wenzio warekebishe waandike Rais ameridhia ombi la balozi polepole kuacha kazi,msimpigishe Rais shot
swali vipimo vya malaria katika hosp za serikali havifanyi kazi au nimekutana na changamoto hiii naambiwa sina malaria nina blood infection, mpaka nilipojikuta ICU hosp fulani nikakutwa na malaria 4147 nipo tayari kushirikianq nanyi tuokoe wengi
in swahili ni hivi
Katika Baraza la Mawaziri Bashiru anasema "nilijisikia ... kulazimishwa sana kuhakikisha kwamba manusura wengine ambao wanapata ujasiri wa kuripoti shambulio lao ili mchakato huo ufanywe kwa heshima na taadhima," alisema, akikiri kwamba alifanya makosa na alikuwa akitoa...
ukifanikiwa kila Jambo ni Muhimu kujifunza kunyamaza ,KUZUNGUMZA ni fedha, kukaa kimya ni dhahabu.”Hivyo ndivyo inavyosema methali moja ya kale na kitabu cha bible kitakatifu kina neno kwenye
MITHALI 11:12 Asiye na akili humdharau mwenziwe; Bali mtu aliye na ufahamu hunyamaza.
MITHALI 17:28...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.