Expect Bashiru in top level management again by 2030

Expect Bashiru in top level management again by 2030

ukiangalia harakati za Bashiru na Magufuli unapata mashaka kama hawa watu ni watanzania. hii michakato huwa tunaisikia Burundi na Rwanda
Wanapewa majina mabaya kwa sababu ya kuwaibua wezi wa mali za chama. Hilo liko wazi. Kuna watu waliumbuliwa na wengine walinyang'anywa tonge midomoni.
 
Mie nilichokipenda kwenye utawala huu wa Mama atleast kajitahidi kufanya mijadala iegemee upande mmoja tu...na hii ndio mbinu nzuri ya kuua Upinzani bila kumwaga damu.

Now everybody talks about CCM na mambo mambo zake...mpaka mtaani hakuna vijiwe tena vya nccr,cuf,chadema wala nani...CCM tu on point!!
 
Huyu Bashiru Ally, Mrundi aliyeletwa kwenye CCM na Ikulu na marehemu mrundi mwenzie? HAPANA, ukurasa wake umekwisha na 2025 ndiyo mwisho wake na ubunge wa viti maalum
Una sababu yoyote ya msingi ya kumbagua mwafrika mwenzako kutoka taifa lingine lililopatikana baada ya wakoloni kutuwekea mipaka ?
 
Una sababu yoyote ya msingi ya kumbagua mwafrika mwenzako kutoka taifa lingine lililopatikana baada ya wakoloni kutuwekea mipaka ?
Ninayo sababu. Magufuli katuharibia sana umoja wetu, upendo na amani iliyojengwa na waasisi wa Taifa letu. Magufuli katuletea chuki ya vyama, ukabila na uuaji na utekaji. Hatutaki mrundi mwingine apenyeze
 
Ninayo sababu. Magufuli katuharibia sana umoja wetu, upendo na amani iliyojengwa na waasisi wa Taifa letu. Magufuli katuletea chuki ya vyama, ukabila na uuaji na utekaji. Hatutaki mrundi mwingine apenyeze
Wewe umemchukia nani?
Mnakuza sana mambo.
Nani kamchukia nani nchi hii?
Mnachukiana ninyi wenyewe huko juu kwa kugombani nafasi. Na imekuwa hivyo hata wakati JPM ni mwanafunzi wa sekondari.
Wanasiasa kuchukiana haimaanishi watanzania wanachukiana.
Umoja wa Watanzania una mizizi.
Umewahi kusikia msukuma akisema hanunui kitu duka la mangi? Au mnyamwezi akisusa kitu katika mgaawa wa mpemba?
Au mkerewe akikataa kupanda basi la mchagga? Acheni kukuza mambo.
Mnataka chuki zenu zionekane za Watanzania wote.
Watanzania huku chini wanasaidiana kama ndugu wa damu moja.Hatuna ukabila.
Wanasiasa ndio wana uvyama l, elements za ukabila na ndio wanapenda kugawa watu.
Na sio mwanasiasa mmoja. Ni majority ya wanasiasa.
Labda wamakonde kidogo. Sijawahi kuona mmakonde akimbagua mtu.
 
Wewe umemchukia nani?
Mnakuza sana mambo.
Nani kamchukia nani nchi hii?
Mnachukiana ninyi wenyewe huko juu kwa kugombani nafasi. Na imekuwa hivyo hata wakati JPM ni mwanafunzi wa sekondari.
Wanasiasa kuchukiana haimaanishi watanzania wanachukiana.
Umoja wa Watanzania una mizizi.
Umewahi kusikia msukuma akisema hanunui kitu duka la mangi? Au mnyamwezi akisusa kitu katika mgaawa wa mpemba?
Au mkerewe akikataa kupanda basi la mchagga? Acheni kukuza mambo.
Mnataka chuki zenu zionekane za Watanzania wote.
Watanzania huku chini wanasaidiana kama ndugu wa damu moja.Hatuna ukabila.
Wanasiasa ndio wana uvyama l, elements za ukabila na ndio wanapenda kugawa watu.
Na sio mwanasiasa mmoja. Ni majority ya wanasiasa.
Labda wamakonde kidogo. Sijawahi kuona mmakonde akimbagua mtu.
Umeandika kitu kizuri sana, na hivyo ndiyo Tanzania aliyoiasisi na kutuachia Nyerere inavyopaswa kuwa. Magufuli kwa kauli zake ambazo voice clips alikuwa anatugawa kama ifuatavyo:

1. Kule Tunduma alisema siwezi kuwapa maji kwa vile mlichagua upinzani.

2. Kitendo cha kumshambulia Tundu Lissu kwa risasi baada ya kupishana
mawazo

3. Kununua wabunge wa upinzani kama kina Silinde, Gekul, Mollel, Mtulya ili kuidhiofisha CDM na CUF

4. Kutumia raslimali za Nchi nzima kujenga wilayani kwake

5. Kuwaweka kwenye nafasi nyeti wanafamilia wake kama Ditto James na Kalemani

6. Kujitangazia ushindi wa uchaguzi wa 2020 wakati hakushinda. Mbaya zaidi kuweka wabunge anaowataka yeye kutoka CCM hata kwenye majimbo waliyoshinda washindani.


Bila Mungu kuingilia kati pale 17/ Machi / 2021 ingekuwa vigumu hili dude kutoka madarakani
 
Umeandika kitu kizuri sana, na hivyo ndiyo Tanzania aliyoiasisi na kutuachia Nyerere inavyopaswa kuwa. Magufuli kwa kauli zake ambazo voice clips alikuwa anatugawa kama ifuatavyo:

1. Kule Tunduma alisema siwezi kuwapa maji kwa vile mlichagua upinzani.

2. Kitendo cha kumshambulia Tundu Lissu kwa risasi baada ya kupishana
mawazo

3. Kununua wabunge wa upinzani kama kina Silinde, Gekul, Mollel, Mtulya ili kuidhiofisha CDM na CUF

4. Kutumia raslimali za Nchi nzima kujenga wilayani kwake

5. Kuwaweka kwenye nafasi nyeti wanafamilia wake kama Ditto James na Kalemani

6. Kujitangazia ushindi wa uchaguzi wa 2020 wakati hakushinda. Mbaya zaidi kuweka wabunge anaowataka yeye kutoka CCM hata kwenye majimbo waliyoshinda washindani.


Bila Mungu kuingilia kati pale 17/ Machi / 2021 ingekuwa vigumu hili dude kutoka madarakani
Zaidi ya namba moja ambayo ni kauli ya kisiasa ambayo hata wapinzani huongea, nyingine zote ni madhanio tu.
 
In the Cabinet Bashiru says “I felt … very compelled to ensure that other survivors who do get the courage to report their assault to have that process done with respect and dignity,” he said, admitting that he had made a mistake and was issuing a “frank apology” to Mama samia Suluhu.

Bashiru was part of a four-member team that ousted a samia inauguration team comprising experienced political office-holders from the Government constituency, home to relatively youthful voters.

Since March 2021 the police and TISS have called on his to furnish more details of his encounter with the coup victim, saying they took the allegations seriously.

But Bashiru demurred, saying he did not want to again traumatise the victim and also wasn’t able to contact the gang.

In answering kaparsma’s questions in TISS on 27/4/2021, Bashiru was made to repeat at least three times that he had lied in the System , finally admitting he would still have been able to “advocate for survivors like myself” without speaking untruths.

The Caninet seems to reduce and neutralize allegations against Bashiru and Samia is taking it as friendly challenges in politics.

Let us Expect Bashiru in top management soon either minister or other positions! Before 2030.

Britanicca
in swahili ni hivi
Katika Baraza la Mawaziri Bashiru anasema "nilijisikia ... kulazimishwa sana kuhakikisha kwamba manusura wengine ambao wanapata ujasiri wa kuripoti shambulio lao ili mchakato huo ufanywe kwa heshima na taadhima," alisema, akikiri kwamba alifanya makosa na alikuwa akitoa "msamaha wa dhati" kwa Mama samia Suluhu.

Bashiru alikuwa sehemu ya timu ya watu wanne iliyoiondoa timu ya uzinduzi ya samia iliyojumuisha viongozi wenye uzoefu wa ofisi za kisiasa kutoka eneo bunge la Serikali, nyumbani kwa wapiga kura vijana.

Tangu Machi 2021 polisi na TISS wamemtaka atoe maelezo zaidi ya kukutana kwake na mwathiriwa wa mapinduzi, wakisema walichukulia madai hayo kwa uzito.

Lakini Bashiru alikashifu, akisema hataki tena kumtia kiwewe mwathiriwa na pia hakuweza kuwasiliana na genge hilo.

Katika kujibu maswali ya kaparsma katika TISS mnamo tarehe 27/4/2021, Bashiru alilazimishwa kurudia angalau mara tatu kwamba alisema uwongo kwenye Mfumo, na mwishowe alikiri kuwa bado angeweza "kutetea walionusurika kama mimi" bila kusema ukweli.

Caninet inaonekana kupunguza na kuondoa tuhuma dhidi ya Bashiru na Samia anaichukulia kama changamoto rafiki katika siasa.

Tutegemee Bashiru kwenye uongozi wa juu hivi karibuni iwe waziri au nyadhifa zingine! Kabla ya 2030.

Britanicca
 
Huyu huyu aliesema watachukua Dola kwa dola?

Kwanini wanafiki na wapenda misifa mnawapenda sana?

Hivi hakuna watu wengine wanaoweza kuwa viongozi huko?

Mnapenda sana wapenda Rushwa ili muendelee kula
 
Back
Top Bottom