Midimay
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 2,907
- 4,771
Wanapewa majina mabaya kwa sababu ya kuwaibua wezi wa mali za chama. Hilo liko wazi. Kuna watu waliumbuliwa na wengine walinyang'anywa tonge midomoni.ukiangalia harakati za Bashiru na Magufuli unapata mashaka kama hawa watu ni watanzania. hii michakato huwa tunaisikia Burundi na Rwanda