Hili shirika kichefuchefu,Jana tumeshinda bila umeme maeneo ya kipunguni mashariki na ni nyumba chache tu majirani wanapatA wengine hawapati,likawa solved jioni take kesho yake,watupa mgongo tena, hivyo sasa doro tena
Kuna sinto fahamu,kuna msiba ulitokea somewhere,MTU aliyekufa ni mwanaume,hakuwa ameoa,ila Mara ya mwisho ameishi na mwanamama mmoja takribani ten years bila ndoa mpaka mauti ilipomfika,ila huyu baba ana watoto wengi nje na wakubwa na family zao,sasa baada ya msiba kuna mchezo unafanywa wa...
Kama user name ilivyo,kuanzia leo nahitaji kumwachia raisi wangu magufuli aendelee tu na huu uraisi mana ni mtu wa maana sana ktk nchi hii,ni mtu asiye tazama urafiki,undugu wala ujama,hongera na mungu akulinde,na nitakuwa wa kwanza kukutetea kwa lolote ndani ya hii forum najua watakuelewa tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.