Prof. Muhongo kutoka si suluhisho: Tatizo mikataba ikoje?

Watu mbumhu kama wewe wanamuabudu Tundu Lissu kama MUNGU WAO.Mikata ya kimataifa ni PERSUASIVE,napo kwa nchi iliyo ratify.Also, mataifa yanashauriwa na kuhimizwa waifuate mikataba hiyo. Mikataba hiyo siyo superior kwa sheria na masilahi MAPANA ya nch(public interest doctrine)..Kifumo ya kimataifa ilibadilika to tukio la 9/11 huko marekani.Ubabe wa nchi moja kuinysnyasa nchi nyinhine UMEKUFA. Jiulize kukiwa na kesi hiyo anayosema Lissu, na ACACIA wakashinda, je watatufanya nini kama nchi kama tukigoma kulipa fidia? Hakuna kitu. Kuna watu wajinga nchi WANAMWABUDU HUYU MTU KAMA MUNGU WAO.Na yeye anajua hilo, anawadanganya kama amavyotaka.
Acacia ni wezi watupu tumeona hayo kwenye migodi mingi duniani.
 
Kuku wa nyama aina ya Broiler wana memory kubwa kuliko mleta hii maada. Kama hujui aliesaini hii mikataba na pia waliokua wanaipinga basi kumbuka bunge lililopita mlipopitisha sheria ya usimamizi wa madini kwa hati ya dharura. Ukishindwa na hili basi tafuta muuza supu ujipeleke maana huna tofauti na mbuzi.
 
Nimefatilia hili sakata la mchanga na ripoti iliyotolewa.

Nina maswali mengi sana ya kujiuliza;

1) Kwani Muhongo akitoka ndo suluhisho la kutoibiwa rasilimali zetu? Je, mikataba inasemaje kuhusu kusafirisha michanga nje ya nchi?

2) Hivi haya yanayoendelea kwenye hii nchi hasa katika masuala ya madini na rasilimali zetu hawa viongozi wa CCM waliopo walikuwa hawayajui?

3) Hivi ni Muhongo ndo alisaini hii mikataba ya madini na wawekezaji?

4) Aliesaini hii mikataba ya madini yupo nchini? Au alishatangulia mbele ya haki? Mi nadhani hapa mheshimiwa chonde chonde usimtoe huyu jamaa.

Suluhisho la hii wizara, na chanzo chote cha yanayotokea ni ubovu wa mikataba iliyopo. Nadhani turudi kwenye tatizo bila kumwajibisha yeyote.
Kwanza Prof. Muhongo hakutakiwa arudi as per maazimio ya bunge. Rais alimwamini sana lakini kamwangusha ni bora apumzike tu
 
Ndicho alichoshauri Lissu kuwa tushughulikie kuivunja mikataba kwanza ndipo tuwashughulokie hawa waerkezaji waliotuibia
Utauvunjaje mkataba huku ukiwa na nafasi nzuri pasi kwanza kutafuta ukiukwaji wa mikataba hiyo kama wizi nk? Kwanza tuthibitisshe wao kukiuka mkataba kwa udanganyifu wao then automatically mkataba utakuwa umevunjika kiurahisi tu.
 
Mleta maada ndio umepotoka Lisu anasena njia ilotumiwa si sahihi, hajasema isivunjwe but utaratibu sahihi utumike kuepuka madhara zaidi.
Utaratibu Upi huo sahihi zaidi ya kuthibitisha wao kufanya udanganyifu?
 
Watu mbumhu kama wewe wanamuabudu Tundu Lissu kama MUNGU WAO.Mikata ya kimataifa ni PERSUASIVE,napo kwa nchi iliyo ratify.Also, mataifa yanashauriwa na kuhimizwa waifuate mikataba hiyo. Mikataba hiyo siyo superior kwa sheria na masilahi MAPANA ya nch(public interest doctrine)..Kifumo ya kimataifa ilibadilika to tukio la 9/11 huko marekani.Ubabe wa nchi moja kuinysnyasa nchi nyinhine UMEKUFA. Jiulize kukiwa na kesi hiyo anayosema Lissu, na ACACIA wakashinda, je watatufanya nini kama nchi kama tukigoma kulipa fidia? Hakuna kitu. Kuna watu wajinga nchi WANAMWABUDU HUYU MTU KAMA MUNGU WAO.Na yeye anajua hilo, anawadanganya kama amavyotaka.
Halafu ni wa ajabu hawa, hata wakielezwa kisomi hawaelewi sijui wakoje. Kwako Tundu ndiye msomi wao mbobezi kupita wote ktk sheria nchini, maneno yake kwao ni kama msahafu. Hivi Lisu alishakuwa hata wakili ktk kesi za kimataifa kweli. Eti mkataba, ndo nini?
 
Inabidi pande zote ziliridhiane huwezi ku review kama hamtakubaliana kureview..
Sio ktk inshu ya wizi na udanganyifu, eidha uwe voidable au void kabisa. Na hapo haki inabaki kwetu, tuuvunje au tuurekebishe.
 
Nimefatilia hili sakata la mchanga na ripoti iliyotolewa.

Nina maswali mengi sana ya kujiuliza;

1) Kwani Muhongo akitoka ndo suluhisho la kutoibiwa rasilimali zetu? Je, mikataba inasemaje kuhusu kusafirisha michanga nje ya nchi?

2) Hivi haya yanayoendelea kwenye hii nchi hasa katika masuala ya madini na rasilimali zetu hawa viongozi wa CCM waliopo walikuwa hawayajui?

3) Hivi ni Muhongo ndo alisaini hii mikataba ya madini na wawekezaji?

4) Aliesaini hii mikataba ya madini yupo nchini? Au alishatangulia mbele ya haki? Mi nadhani hapa mheshimiwa chonde chonde usimtoe huyu jamaa.

Suluhisho la hii wizara, na chanzo chote cha yanayotokea ni ubovu wa mikataba iliyopo. Nadhani turudi kwenye tatizo bila kumwajibisha yeyote.

Mikataba na wizi ni vitu viwili tofauti. Kwenye mikataba Hakuna sehemu inasema unaweza kudanganya thamani ya mali unayonunua. Hapa swala la mikataba halipo, ni wizi wa kushusha thamani ya madini yaliyomo kwenye macontainer. Ikidhitishwa hivyo basi inakuwa breach of contract. Shida ya Waziri Muhongo Alilala kazini, angepeleleza kama JE ni kweli hawa watu wanadeclare thamani ya mali?
 
Mikataba na wizi ni vitu viwili tofauti. Kwenye mikataba Hakuna sehemu inasema unaweza kudanganya thamani ya mali unayonunua. Hapa swala la mikataba halipo, ni wizi wa kushusha thamani ya madini yaliyomo kwenye macontainer. Ikidhitishwa hivyo basi inakuwa breach of contract. Shida ya Waziri Muhongo Alilala kazini, angepeleleza kama JE ni kweli hawa watu wanadeclare thamani ya mali?

Inawezekana pia hakulala,alilazwa
 
Inawezekana pia hakulala,alilazwa

Pengine alilazwa. Tabia zetu za kuwaogopa viongozi kama wametuumba inatufikisha pabaya. Mali hii ni ya Watanzania wote, lakini mtu akishika madaraka anasahau mali anayochezea sio yake na juu take anatunyanyasa, tunabaki tukisema yote tunamuachia Mungu. Nafikiri hata Mungu kachoka, tunampa mzigo, lazima tujitetee na tumuombe Mungu atusaidie, lakini hatuwezi kukaa tukionewa na viongozi wetu na kumwachia kazi yote Mungu, lazima tusimame tukatae uonevu. Kukubali kuonewa ni zambi.
 
Back
Top Bottom