Hivi wewe unapofikia hatua ukakosa cha kufanya, matumaini uliyokuwa nayo yakayeyuka, watu uliowategemea wamekuacha, kanisani unaogopa hata kukanyaga maana wanakudai sadaka ya ujenzi na michango mingine, kila ukipiga magoti kusali unahisi maombi yako Mungu haya sikiii, umri unasogea ila wewe bado...