bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,560
- 7,110
Tangawizi na iliki umeweka lakini kwenye hiyo chai?
Tangawizi na iliki umeweka lakini kwenye hiyo chai?
Hii itakuwa sensa maalumu kabisa: kijana mmoja huwa anatembea na wanawake wangapi kwa siku (by age groups)Senza nyingine ni 2032
Ya moto sana
Yap jf lolote linawezekana ni zaidi ya miujizaInawezekana ila huu uzi ni chai
Huyu ipo siku atasahau ataanzisha uzi wa kuomba dawa ya kuvutia wanawakeYap jf lolote linawezekana ni zaidi ya miujiza
Humu kuna mijitu miongo sana halafu haina kumbukumbuHuyu ipo siku atasahau ataanzisha uzi wa kuomba dawa ya kuvutia wanawake
Ya moto yenye chumviYa moto sana
Kiukweli hii chai ina majani ya chai na chumviTangawizi na iliki umeweka lakini kwenye hiyo chai?
Na pilipili kichaaYa moto yenye chumvi
Siwezi kubishana na mwonajiNa pilipili kichaa
Mtoa mada ChristopherPaul15 atakuwa na umri wa miaka 35.. Labda atakuwa amekuwa/amekomaa wakati huo....Senza nyingine ni 2032
Huyu ipo siku atasahau ataanzisha uzi wa kuomba dawa ya kuvutia wanawake
Yenye Tangawizi na chaichaiHabari za humu!
Mimi ni kijana wa miaka 25, nimekuja kwenu niwaulize mimi kila nikimsemesha mwanamke tu basi ananitaka kimapenzi mpaka nashindwa kuelewa nini maana mpaka imekua kero wanapigana kisa.
Mimi na situmii pesa yeyote na nakula mbususu 5 kwa siku bila hata ya kugharmia. Naombeni ushauri na kama kuna mganga wa kufanya wanawake wanione wa kawaida mnisaidie sababu nipo serious nashindwa hata nibaki na mwanamke yupi.
Utuache na nani usihame😂Ipo siku Tz nitahamaa
Yako wapi 😂Inaweza isiwe chai Joanah, haya mambo yapo sana tu
Mtaani kwanguYako wapi 😂
Naona mleta uzi amekimbia chai yake yenye pilipili 😅Na pilipili kichaa