Mungu hakika jabali
Muumba, Allah, Jalali
Kamuumbia mja akili
Yake pekee si ya wawili
Uko na wako mwandani
Mwanyegezana kitandani
Watazama ute ute kidoleni
Naye mwali aupepea ukuni
Wote mwatazamana usoni
Kwa mahaba wakisi kinywani
Wajua huyo wako maishani
Umemjaza mwilini na rohoni
Kumbe hapo...
Asante mkongwe kwa taarifa yako, na mabandiko yako. Kwako sina la kupinga sana. Kwa JD pia licha ya udj, amekuwa mtangazaji. Siamini kama atashindwa kazi hiyo hasa ukizingatia sio taarifa ya habari ile bali ni maongezi fani hivi changamfu yakisindikizwa na muziki. Anaweza kuweza
Wakati naendelea kufuatilia marudio ya msiba wa Garder, namuona DJ JD akiwa katulia msibani. Mara kwa mara kamera zinamuonyesha akiwa katulia, na miwani yake myeusi juu ya paa la uso.
Ndipo ninapovuta kumbukumbu miaka ya 2005 kama sikosei, akiwa East Africa Radio. Kipindi chake cha usiku...
Huyo afisa pori kwa maelezo yake nae hajui. Pia kwa JF kuhitimisha kuwa sio kweli hawako sahihi. Wapo jamaa wachana mbao porini. Wanathibitisha kuwa ni nyoka huwa kavua gamba ndio unasikia hivyo.
Ni hivi, hata wewe ni matunda ya sperm zaidi ya mil 100 zilizoshindana kuingia yai la mama yako ukazaliwa. Yani angetokea mhuni mmoja akaanza kuziambia mbegu ndani ya shaha.. za dingi yako kuwa ushindani hauna mfano na ni bora wasijisumbue, ni wazi usinhezaliwa ✌️😄
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.