Recent content by Raia Fulani

  1. Raia Fulani

    Wafumba macho kumsogeza fulani

    Mungu hakika jabali Muumba, Allah, Jalali Kamuumbia mja akili Yake pekee si ya wawili Uko na wako mwandani Mwanyegezana kitandani Watazama ute ute kidoleni Naye mwali aupepea ukuni Wote mwatazamana usoni Kwa mahaba wakisi kinywani Wajua huyo wako maishani Umemjaza mwilini na rohoni Kumbe hapo...
  2. Raia Fulani

    John Dilinga Matlow, mrithi halali wa Gardner Habash

    Ni kweli mkuu. Tumeona hapo Kenya pia. Mti umeanguka na mti ukapandwa chap. Ndio fomula ya maisha. Hata wife hapo ana mbadala pindi ukitangulia 😅
  3. Raia Fulani

    John Dilinga Matlow, mrithi halali wa Gardner Habash

    Asante mkongwe kwa taarifa yako, na mabandiko yako. Kwako sina la kupinga sana. Kwa JD pia licha ya udj, amekuwa mtangazaji. Siamini kama atashindwa kazi hiyo hasa ukizingatia sio taarifa ya habari ile bali ni maongezi fani hivi changamfu yakisindikizwa na muziki. Anaweza kuweza
  4. Raia Fulani

    John Dilinga Matlow, mrithi halali wa Gardner Habash

    Bila shaka age mate wale
  5. Raia Fulani

    John Dilinga Matlow, mrithi halali wa Gardner Habash

    Wakati naendelea kufuatilia marudio ya msiba wa Garder, namuona DJ JD akiwa katulia msibani. Mara kwa mara kamera zinamuonyesha akiwa katulia, na miwani yake myeusi juu ya paa la uso. Ndipo ninapovuta kumbukumbu miaka ya 2005 kama sikosei, akiwa East Africa Radio. Kipindi chake cha usiku...
  6. Raia Fulani

    SI KWELI Ukihisi harufu ya wali au mchele uwapo porini ni ishara kuwa Chatu yupo karibu

    Huyo afisa pori kwa maelezo yake nae hajui. Pia kwa JF kuhitimisha kuwa sio kweli hawako sahihi. Wapo jamaa wachana mbao porini. Wanathibitisha kuwa ni nyoka huwa kavua gamba ndio unasikia hivyo.
  7. Raia Fulani

    Shemsa Mohammed: CCM Haitambeba Mtu Katika Uchaguzi Mkuu Ujao, 2025

    Asante, na Amina. Yaani na iwe hivyo. Asibebwe mtu. Kazi yake imbebe
  8. Raia Fulani

    Twende Mbele turudi nyuma, umasikini ndio mtaji mkuu wa CCM

    Ujinga pia ni mtaji. Watu wanatekwa na manabii uchwara, na soka. Vijana wanabeti kama hawana akili. Serikali iliyonmadarakani hapo inaona ndio mwake
  9. Raia Fulani

    Baadhi ya Features za kuzingatia utakavyopanga kununua gari lako lijalo

    Huu uzi nauhifadhi vipi kwa matumizi ya baadae?
  10. Raia Fulani

    Usisome kozi ya clinical medicine (clinical officer) kabla ya kusoma thread hii

    Ni hivi, hata wewe ni matunda ya sperm zaidi ya mil 100 zilizoshindana kuingia yai la mama yako ukazaliwa. Yani angetokea mhuni mmoja akaanza kuziambia mbegu ndani ya shaha.. za dingi yako kuwa ushindani hauna mfano na ni bora wasijisumbue, ni wazi usinhezaliwa ✌️😄
  11. Raia Fulani

    Baba wa Taifa na tatizo la Udini

    Kipenzi cha Mtume Muhammad (s.a.w)
Back
Top Bottom