Recent content by rahma206

  1. R

    JamiiForums Tanzania Min laptop for sale

    Kama nimemuelewa anauza laki mbili na Sabini (270,000)
  2. R

    JamiiForums Tanzania Natafuta wataalamu wa kupanua

    Kama umeweza kununua bati ya south hukutakiwa kutafuta mtu wa bei poa kiasi hicho; kama unaweza kukusanya ufikishe 1.5m nijulishe kwa pm nikutumie fundi expert anakodishwa hadi mikoani ila ni wa Dar. Nahisi hawezi kufanya hiyo kazi chini ya bei hiyo kwani kazi zake ni za viwango....
  3. R

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Gari isiyozid million 4

    ongeza 500k nikupatie suzuki eskudo 3door (arusha) Rangi yake maroon (dam ya mzee) imepauka kidogo hivyo unaweza kuirudia ukipenda. Nimeipaki kwa 3 months sasa...natumia gari nyingine...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Laptops and Mobile phones for sale

    Kwa ushauri wangu Tangazo lako lina kosa vitu muhimu vifuatavyo; 1. Picha ya unacho kiuza 2. Mahali ulipo/mzigo ulipo 3. Bei ya kuuzia na kama ni fixed au mtu anaweza kuongea Hayo mengine ya specification ambazo naona hujakamilisha sio mbaya sana kwani wanayo jua hiyo mashine wanaelewa what to...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

    Mimi ilikuwa 2007 nilipata ride ya kwenda Serengeti, nikapiga suti na scaf; kuingia kwenye ndege (hizi ndogo za watu 12) nakuta watu wamevaa simple sana kwa kuwa wanaenda bush; nilijisikia vibaya sana...
  6. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume anaweza kukaa muda gani bila tendo la ndoa

    Binafsi nakubaliana na kipima mbele; Wanaume kwa wastani huhitaji sex kila siku hasa akiwa na mwanamke. Sasa kuishiwa hamu kwa kipindi kirefu hivyo inaweza kusababishwa na Msongo wa mawazo (stress), magonjwa kama pressure na kisukari, uzito wa kupindukia nk; ila stress zinazo leta na kukosa...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Hu ndo upimaji wa uelewa kwa wanafunzi wa chuo kikuu

    kwa mtazamo wangu Elimu ya chuo kikubwa ni kumpa mwanachuo outline itakayomfanya asome/atafiti na kuwa na upeo mkubwa zaidi hata kuliko kile alichofundishwa. Na ndio maana ukifuatilia ugunduzi mwingi mkuwa duniani hutokea kwenye vyuo vikubwa na hutokea zaidi kwa wana vyuo kuliko lectures. Huu...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Wanawake kuota Ndevu na Vipara: Chanzo, tahadhari na tiba yake

    mimi najua kwa kiasi kikwa ni kuridhi na Hormne Ila kutumia dawa za family planing bila kuwasiliana na daktari akakupima akajua ni ipi itakufaa kulingana na reaction ya mwili wako, huchangia kwani huenda kuingilia mfumo wa hormone za uzazi Hiyo ya mkorogo nilikuwa sijaijua
  9. R

    JamiiForums Tanzania Kweli Tunahitaji Rais Mwenye upeo wa Juu..'Interview ya JK na Amanpour CNN'

    Autorun255?? binafsi huwa siwaelewi watu kama wewe mnaochanganya hoja za msingi na uwezo wa kuongea kiingereza; kingereza ni lugha tu na haisaidii kuonesha kuwa mtu anauwezo wa kubeba masuala mazito ya nchi. Wajapan, na hata Wachina wanaoenda kuchukua uchumi wa dunia wanaongea kiingereza cha...
  10. R

    JamiiForums Tanzania Nauza projectors uses

    nita kui box kama nimekuelewa, huenda naweza kukushauri
Back
Top Bottom