Recent content by rafael mtuvenge

  1. rafael mtuvenge

    Zanzibar (Unguja mjini) Mji mchafu kuliko yote Tanzania

    Znz mvua zinyeshe mwezi mzima hukuti mavi mitaani ila dar mvua dakika 15 tu kila sehemu mavi watu wanafungulia vyoo vp hapo ndio usafi unaosemwa hapa au
  2. rafael mtuvenge

    Je, ulijisikiaje siku ya kwanza ulipoijaribu bangi? Mwenzenu ilikuwa hivi...

    Mm nilitoka uwanja taifa nakimbia hadi magomeni kila nikigeuka nyuma nasikia kelele huku naona km kuna kundi la askari kuubwa linanikimbiza
  3. rafael mtuvenge

    Arogwa na kugeuka Mbuzi

    Umeona eeeehh
  4. rafael mtuvenge

    Ushuhuda : Nilipotea njia na kuingia chumba cha majini

    Hakuna lolote hadithi za vitabuni tu hizo na kuamini ushirikina
  5. rafael mtuvenge

    Shabiki wa Yanga afariki uwanjani

    Watu wantembea na maradhi hawajijui huo ushabiki hapo km sababu tu
  6. rafael mtuvenge

    Bar ya Highland Tabata Baracuda inateketea kwa Moto mda huu

    Mm naona hata moto haujakolea km kuna nafasi unatakiwa ukolezwe hasaa hata majivu yasibaki
  7. rafael mtuvenge

    Leo Asubuhi Nikiwa Ubungo bus terminal....

    Ainunue km alivyoinunua mara ya kwanza hataki basi achana nae ila km ni smart phone zima tupa lain weka stoo usiitumie
  8. rafael mtuvenge

    Wamarekani wahofu ndege iliyotekwa itatumika kama silaha ya maangamizi

    Wamarekani si vidume sasa wanapagawa nn watulie tu wasubiri mavuno ya wanayoyapanda
  9. rafael mtuvenge

    Naomba msaada wa kisheria nimepewa NOTICE na mwenye nyumba wangu

    Wewe anza tu nyumba za kupanga na wenye nyumba zao ni mashaka tu
  10. rafael mtuvenge

    Serikali Impe Ulinzi Said Bahanuzi!

    Tutamkalia kikao kumjadili wakiwekwa bench wanalalamika wakipewa nafasi mchecheto kibao
Back
Top Bottom