Ushuhuda : Nilipotea njia na kuingia chumba cha majini

Ushuhuda : Nilipotea njia na kuingia chumba cha majini

Mburula nenda ikatowe ushuhuda wako kanisani kwenu kule ndio mmezoweya kudanganyana kesho utakuja na ushuhuda ni memuona mungu kakketi na yesu. Kadanganyeni kule kanisani utvuna kondoo wako wa pole na utawaeleza utakavyo nyamnafu
 
Huyo anataka kuwa famous tu kama Messi amna ushuda wala nin ushuuda unatolewa kwenye blog au kanisani
 
kumbe majini na watu wasio wadunia hii unaweza wasiliana nao kuptia simu tena kwa sms, makubwa!!!!
Na mkeo alikuwa akipgiwa simu na namba ya kiarabu na kutumiwa sms za kiarabu akitaarifiwa kinachoendelea ni vipi alielewa pasipo kuijua lugha ya kiarabu.
Hii story ya kutunga na mtungaji bado hajawa nguli wa kutunga story
 
kumbe majini na watu wasio wadunia hii unaweza wasiliana nao kuptia simu tena kwa sms, makubwa!!!!
Na mkeo alikuwa akipgiwa simu na namba ya kiarabu na kutumiwa sms za kiarabu akitaarifiwa kinachoendelea ni vipi alielewa pasipo kuijua lugha ya kiarabu.
Hii story ya kutunga na mtungaji bado hajawa nguli wa kutunga story

Hata hii
mitandao kuna majini kibao..Na hizi fake ids ndio kabisaaa.Facebook watu washakutana na vibwanga sijui hapa Jf.
 
Mlengwa alituma ushuhuda wake blog ya ushindi si jf, ila naona limetimia neno la mathayo 7;12 "msiwape mbwa kilicho kitakatifu wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe wasije wakazikanyaga na kugeuka kuwararua". Kwa hiyo nguruwe na mbwa mna haki ya kukanya shuhuda njema za ukuu wa mungu, maana zaidi ya ngono hakuna chochote mnachoweza kukisifia.
upo sahihi kabisa, ujumbe umewafikia. matomaso bado ni weeengi.
 
simu ina lugha zote unaweza kubaili unavyotaka na ukaandika meseji na kutuma sasa huyo kafanyiwa hizo fiksi akadhani anatumiwa na majini. Halafu mambo mengine mnaota ndoto mbaya usiku halafu unakuja kudanganya nilichukuliwa na majini kumbe ni ndoto zako hizo. Pia kuokoka umefanya vizuri maana historia yako ya ujana huendaa ulifanya madhambi makubwa sana mpaka mungu akakupa mtihani uliokuelekeza kukunusuru
 
Tupiamo izo pic tuone,hadithi yako inatufundisha nini?
 
Hivi jini lazima liwe mwarabu...haliwezi kuwa mswahili,mchina,mzungu au muhindi au kuna ujumbe flani mnafikisha kwa hadhira yaani uarabu=uislam. mmmmh fresh..ila inashangaza kila hadithi ya jini basi lazima awe mwarabu tena wengine utasikia alikuwa kavaa baibui na mtandio. Hongera mkuu.....ila jaribu kuongeza juhudi za uandishi maana its too childish....

hata mimi nimejiuliza kuna uhusiano gani kati ya majini na UARABU mbna hadithi zote zinaendana...
utasikia maandishi ya kiarabu, wanazungumza kiarabu, muonekano wa kiarabu, mavazi ya kiarabu hata MARASHI ya kiarabu....!!!

Hapa lazima kuwe na connection.
cc matumbo
 
Last edited by a moderator:
Hivi ni kwa nini wanaoleta theories za majini huwa mara nyingi wanahusianisha na uarabu?
 
Back
Top Bottom