Recent content by Radio Umbea fm

  1. Radio Umbea fm

    Black girls are more attractive than white girls

    Tafazalini anaeweza kutafsili hio lugha atutafsilie
  2. Radio Umbea fm

    Mwai Kibaki awadharau watanzania!

    Kichekesho kweri! Lol. Wengine wanafanya masihara na kejeli... Lol.
  3. Radio Umbea fm

    Tanzania: Deni la taifa sasa lafikia Sh 22 trilioni! Waziri adai bado tunakopesheka...

    Itabidi raia wote wachangishe kila mmoja alipe tsh. 20, 000 au zaidi ili mlipe deni la taifa... Lol. La sivo mtakufa na deni la taifa. Lol
  4. Radio Umbea fm

    Natangaza rasmi kugombea udiwani kata ya Igoma jijini Mwanza kupitia CHADEMA 2015

    Je, ukiupata udiwani utafanya nini? Eleza sera au harakati zako kama kiongozi (diwani).
  5. Radio Umbea fm

    Kumbe osama alikufa huku kamkumbatia mkewe

    Yataka time maalum kuisoma taarifa hii.... Ntarubidi baadae
  6. Radio Umbea fm

    Knowing The Unknown

    Yuko wapi SUPERMAN ashuhudie TRUE STORY na wasanii halisi wa stori hio?
  7. Radio Umbea fm

    Mume hanifikishi kisawasawa

    Wewe ni mwanamke wa aina gani? Kama ningekua Mme wako ningekuchapa kichapo cha Punda mpaka ukaacha kuniamrisha. Na tena ungejua nani alieoa na alieolewa. Ungejua tofauti ya mme na mke!!!
  8. Radio Umbea fm

    response to ushauri about the closed thread

    Dalili ya mvua ni mawingu. Kile ninachokiona hapa ni kwamba mjadala umekua mrefu sana na naona unaelekea kuleeeeeeeeeeeeee kwa USHAURI wa PM....lol
  9. Radio Umbea fm

    Trend ya vifo

    Mtoto akifeli nampa kichapo cha mbwa kuingia msikitini. Lol
  10. Radio Umbea fm

    Mate ya mpenzio...

    Labda awe anatumia UGORO ndio aweze kujaza cup mate tele ! Lol
  11. Radio Umbea fm

    Knowing The Unknown

    Nilifikiria ni movie za kibongo hizo kumbe imetokea kweri! Dah! Nisubiri narudi na USHAURI na maoni na nahasa pia sasa hivi.... Lol.
  12. Radio Umbea fm

    response to ushauri about the closed thread

    Hmm! Jambo gani gumu hivo ambalo huwezi kulianika na kutiririka hapa mpaka uPM mtu? Weka wazi kila tatizo lako hapa naweza kukusaidia na USHAURI, MAONI NA KUKUNASIHI..lol Usiogope kuleta mada mpya kila siku. TUNAHAMU yakujua kinachokusibu na kukusumbua ili tukusaidie kwa HALI na MALI ikibidi! Lol
  13. Radio Umbea fm

    Anaewajua wanyamwezi anisaidie

    "....nalitumila ndumba ya kumlomo..." lol
  14. Radio Umbea fm

    Anaewajua wanyamwezi anisaidie

    Wanawake wakinyamwezi ni wazuri sana. Ukipata mwengine na mie nijulishe tuwe mashemeji. Lol
Back
Top Bottom