Mume hanifikishi kisawasawa

Mume hanifikishi kisawasawa

Kulipiza kisasi sio maisha yanayotakiwa kati ya wanandoa,kwa sababu ukiamua kulipa kisasi utaiharibu ndoa yako mwenyewe na utakuwa unaitafuta aibu yako mwenyewe kwa sababu mara nyingi mwanamke aliyeolewa akiwa kicheche inakuwa gumzo mtaani na aibu kubwa kwani kila kona utaongelewa wewe tu,tofauti na wanaume ambao wao hata wawe wahuni kiasi gani huonekana kama ni kawaida sana.Cha kufanya jaribu kuwahusisha watu walio na miaka mingi kwenye ndoa,washenga wenu wa ndoa au hata wazazi na uwaeleze wasiwasi ulionao juu ya huyo mmeo waangalie watawasaidiaje,baada ya hapo ukiona tabia haibadiliki na ukijua chanzo ni nyumba ndogo unaweza kuachana naye kama waweza, kuokoa watoto wenu kwani siku hizi magonjwa ni mengi,na pi hata mwanzilishi wa ndoa yaani Mungu katk maandiko yake ameruhusu ndoa kuisha ikiwa mmoja si mwaminifu.
 
Wewe ni mwanamke wa aina gani? Kama ningekua Mme wako ningekuchapa kichapo cha Punda mpaka ukaacha kuniamrisha. Na tena ungejua nani alieoa na alieolewa. Ungejua tofauti ya mme na mke!!!
 
HAMIA AIRTELL!!!RAHA JIPE MWENYEWE,SIO LAZIMA MBOO, ANZA HIVI,Jipe mkono usiku mbele yake halafu zama mpaka ufike kileleni tena kwa kugugumia kweli,kama kweli ni kuchoka tuu,utaona response yake,nyege zinasumbua asikuambie mtu,tena na jitu umelala nalo eti limechoka loo,tupilia huko jihudumie mwenyewe,nje sikuruhusu maana kuna magonjwa,jichezee mwenyewe tena ukinogewa panua miguu mpaka umkanyage,akiamka we endelea mpaka utue mzigo,halafu unamwambia pole baby kwa usumbufu,uwiiMungu nisamehe,kwani nimejua ninafanya nini baby,daah,nisamehe nimepitiwa ni shetani tu!!!kesho tena piga mzigo mwenyewe!hahaaaa raha eeh!!!pole mi wangu dose yake ni noma,mpaka hua sitaki kuoga pamoja,maana akiona uko uchi tu anapiga mzigo,mpaka unawaza hivi nikiwa mbali itakuwaje walahi toba!!!mhh wanatofautiana kweli hawa watu,mpaka na mimi ashaniambukiza napenda ngono ka chakula,looh!!!
 
ongea nae .mbembeleze,mtegetege huko ndani maybe mvuto umepungua!
 
Habari wanajamvi,

Mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa miaka minne iliyopita na nina watoto wawili wote wa kike. Mwanzoni mwa mahusiano yetu na mume wangu (wakati tukiwa wachumba) na hata kama mwaka mmoja na nusu hivi kwenye ndoa yetu, baba watoto alikuwa ananiweza kweli....yaani nikikutana nae...aaah, allahmdullillah, nilikuwa naiona anga kwa uhalisia kabisa....na akiwa amechoka sana, basi hata mbili nitapata na kweli nilikuwa najisikia nime.....! Na kwa wiki nilikuwa napata kama siku nne hivi, yale mapigo ya sawa sawa.

Sasa kwa kipindi kama cha mwaka mmoja hivi...da, baba watoto kwa kweli ana underperform kabisa....wakati mwingine inapita wiki nzima, sionji na mm mwanamke huwa nahitaji...nikimwambia anasema nimechoka sana kazini. Kwa heshima niliyo nayo kwa mume wangu, huwa namwambia sawa, lakini moyoni huwa nabaki na maswali mengi kuliko majibu. Huwa nahisi moja kati ya mambno haya:

1) Huenda mume wangu ameanza mambo ya nyumba ndogo, so akitoka kazini huenda anamalizia huko huko then akirudi nyumbani anakuwa hoi

2) Labda umbile langu limemchosha, coz kabla hatujaoana nilikuwa na bambataa ya wastani na kiuno chembamba, lakini now sio utani, nyonga imebaki vile vile lakini makalio yameongezeka mara-dufu, so huwa hafikii pale "Dar es Salaam" kisawasawa kama tunado ile style ya chuma mboga.

Haya yoye ni mawazo yangu ambayo ninayo moyoni. Sasa sijajua kama nimuulize au na mimi nianze kupiga show za nje kwani wanaonitongoza nikiwapanga kuanzia Dar, basi watafika hadi morogoro......tatizo nampenda baba watoto na nimempa muda wa kama miezi 6 hivi, kama hatobadilika, basi nita-confirm namba (1) ya hapo juu....so na mm nitaanzia humuhumu jamii formu kutafuta kurusha nae roho.

Naomba mnisadies what to do at the moment!
Mithali 14:1 Mwanamke mwenye hekima huijenga nyumba yake,
bali mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe

Wewe upo kwenye kundi gani?

 
Habari wanajamvi,

Mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa miaka minne iliyopita na nina watoto wawili wote wa kike. Mwanzoni mwa mahusiano yetu na mume wangu (wakati tukiwa wachumba) na hata kama mwaka mmoja na nusu hivi kwenye ndoa yetu, baba watoto alikuwa ananiweza kweli....yaani nikikutana nae...aaah, allahmdullillah, nilikuwa naiona anga kwa uhalisia kabisa....na akiwa amechoka sana, basi hata mbili nitapata na kweli nilikuwa najisikia nime.....! Na kwa wiki nilikuwa napata kama siku nne hivi, yale mapigo ya sawa sawa.

Sasa kwa kipindi kama cha mwaka mmoja hivi...da, baba watoto kwa kweli ana underperform kabisa....wakati mwingine inapita wiki nzima, sionji na mm mwanamke huwa nahitaji...nikimwambia anasema nimechoka sana kazini. Kwa heshima niliyo nayo kwa mume wangu, huwa namwambia sawa, lakini moyoni huwa nabaki na maswali mengi kuliko majibu. Huwa nahisi moja kati ya mambno haya:

1) Huenda mume wangu ameanza mambo ya nyumba ndogo, so akitoka kazini huenda anamalizia huko huko then akirudi nyumbani anakuwa hoi

2) Labda umbile langu limemchosha, coz kabla hatujaoana nilikuwa na bambataa ya wastani na kiuno chembamba, lakini now sio utani, nyonga imebaki vile vile lakini makalio yameongezeka mara-dufu, so huwa hafikii pale "Dar es Salaam" kisawasawa kama tunado ile style ya chuma mboga.

Haya yoye ni mawazo yangu ambayo ninayo moyoni. Sasa sijajua kama nimuulize au na mimi nianze kupiga show za nje kwani wanaonitongoza nikiwapanga kuanzia Dar, basi watafika hadi morogoro......tatizo nampenda baba watoto na nimempa muda wa kama miezi 6 hivi, kama hatobadilika, basi nita-confirm namba (1) ya hapo juu....so na mm nitaanzia humuhumu jamii formu kutafuta kurusha nae roho.

Naomba mnisadies what to do at the moment!
kumbe wanawake wa kwenye ndoa ndo mlivyo?..sasa..kwa mfano ukatoka nje ya ndoa..then ukaja gundua mumeo hana nyumba ndogo utafanyaje?..mwanamke anawaza...pa fupi sana...
 
Evelyn Salt umenena neno zito sana hapo! Nina Imani Kama anaipenda ndoa yake basi ameshafuta mawazo ya kishetani aliyokuwa nayo!
 
Last edited by a moderator:
Oti kate, mimi ninachokushauri, ni kwamba ongea na Mumeo, na mwambie ukweli kuwa siku hizi Hafiki Dar anaishia chalinze, kulikoni? na mwambie kuwa kutokana na yeye kuishia huko chalinze kunakufanya ukose raha ya ndoa, maana ile sakalamenti takatifu huipati sawa sawa, tatizo ni nn? na Mwambie akuepushe na tamaa za mwili kwa sababu inapelekea kutamani kwenda nje. So akuepushe na shetani huyo usije ukavunja ndoa yenu, na Pia mwambie unampenda sana na hutaki kufanya hayo. Nakwambia reaction yake itakuwa kubwa kwa sababu ataogopa kuwa mpk umeamua kumwambia utakuwa umeumia sana.

N;B USITOKE NJE YA NDOA YAKO, UTAHARIBU NDOA, NA INAWEZA KUPELEKEA KUVUNJIKA KABISA NA KULETA MAGONJWA NDANI. VUNJA UKIMYA SEMA NAYE KINAGA UBAGA
 
Naomba mnisadies what to do at the moment!

Hueleweki kabisaaa .... ! Hujamueleza wala kuzungumza naye ... alafu uko huku Jf ... unatupigia story sisi. kwani sisi ndio mumeo? ... anyway! dont let me down for second alternstive .. niko hapa Pm ..!
 
Habari wanajamvi,

Mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa miaka minne iliyopita na nina watoto wawili wote wa kike. Mwanzoni mwa mahusiano yetu na mume wangu (wakati tukiwa wachumba) na hata kama mwaka mmoja na nusu hivi kwenye ndoa yetu, baba watoto alikuwa ananiweza kweli....yaani nikikutana nae...aaah, allahmdullillah, nilikuwa naiona anga kwa uhalisia kabisa....na akiwa amechoka sana, basi hata mbili nitapata na kweli nilikuwa najisikia nime.....! Na kwa wiki nilikuwa napata kama siku nne hivi, yale mapigo ya sawa sawa.

Sasa kwa kipindi kama cha mwaka mmoja hivi...da, baba watoto kwa kweli ana underperform kabisa....wakati mwingine inapita wiki nzima, sionji na mm mwanamke huwa nahitaji...nikimwambia anasema nimechoka sana kazini. Kwa heshima niliyo nayo kwa mume wangu, huwa namwambia sawa, lakini moyoni huwa nabaki na maswali mengi kuliko majibu. Huwa nahisi moja kati ya mambno haya:

1) Huenda mume wangu ameanza mambo ya nyumba ndogo, so akitoka kazini huenda anamalizia huko huko then akirudi nyumbani anakuwa hoi

2) Labda umbile langu limemchosha, coz kabla hatujaoana nilikuwa na bambataa ya wastani na kiuno chembamba, lakini now sio utani, nyonga imebaki vile vile lakini makalio yameongezeka mara-dufu, so huwa hafikii pale "Dar es Salaam" kisawasawa kama tunado ile style ya chuma mboga.

Haya yoye ni mawazo yangu ambayo ninayo moyoni. Sasa sijajua kama nimuulize au na mimi nianze kupiga show za nje kwani wanaonitongoza nikiwapanga kuanzia Dar, basi watafika hadi morogoro......tatizo nampenda baba watoto na nimempa muda wa kama miezi 6 hivi, kama hatobadilika, basi nita-confirm namba (1) ya hapo juu....so na mm nitaanzia humuhumu jamii formu kutafuta kurusha nae roho.

Naomba mnisadies what to do at the moment!

Ukiona hivyo huyo jamaa yako keshaanza kuwa gay!
 
Habari wanajamvi,

Mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa miaka minne iliyopita na nina
watoto wawili wote wa kike. Mwanzoni mwa mahusiano yetu na mume wangu
(wakati tukiwa wachumba) na hata kama mwaka mmoja na nusu hivi kwenye
ndoa yetu, baba watoto alikuwa ananiweza kweli....yaani nikikutana
nae...aaah, allahmdullillah, nilikuwa naiona anga kwa uhalisia
kabisa....na akiwa amechoka sana, basi hata mbili nitapata na kweli
nilikuwa najisikia nime.....! Na kwa wiki nilikuwa napata kama siku nne
hivi, yale mapigo ya sawa sawa.

Sasa kwa kipindi kama cha mwaka mmoja hivi...da, baba watoto kwa kweli
ana underperform kabisa....wakati mwingine inapita wiki nzima, sionji na
mm mwanamke huwa nahitaji...nikimwambia anasema nimechoka sana kazini.
Kwa heshima niliyo nayo kwa mume wangu, huwa namwambia sawa, lakini
moyoni huwa nabaki na maswali mengi kuliko majibu. Huwa nahisi moja kati
ya mambno haya:

1) Huenda mume wangu ameanza mambo ya nyumba ndogo, so akitoka kazini
huenda anamalizia huko huko then akirudi nyumbani anakuwa hoi

2) Labda umbile langu limemchosha, coz kabla hatujaoana nilikuwa na
bambataa ya wastani na kiuno chembamba, lakini now sio utani, nyonga
imebaki vile vile lakini makalio yameongezeka mara-dufu, so huwa hafikii
pale "Dar es Salaam" kisawasawa kama tunado ile style ya chuma mboga.

Haya yoye ni mawazo yangu ambayo ninayo moyoni. Sasa sijajua kama
nimuulize au na mimi nianze kupiga show za nje kwani wanaonitongoza
nikiwapanga kuanzia Dar, basi watafika hadi morogoro......tatizo
nampenda baba watoto na nimempa muda wa kama miezi 6 hivi, kama
hatobadilika, basi nita-confirm namba (1) ya hapo juu....so na mm
nitaanzia humuhumu jamii formu kutafuta kurusha nae roho.

Naomba mnisadies what to do at the moment!
Hueleweki kabisaaa
.... ! Hujamueleza wala kuzungumza naye ... alafu uko huku Jf ...
unatupigia story sisi. kwani sisi ndio mumeo? ... anyway! dont let me
down for second alternative .. niko hapa Pm ..!
 
Wewe nadhani ushauri wako umepinda sana, japo naye sidhani kama yuko serious kutafuta ushauri wa jambo nyeti kama hilo humu ndani. Ndoa na iheshimiwe na watu wote.

muonjeshe tigo atarudi kwa speed.
 
Back
Top Bottom