Umezaliwa kwenye Ukristo, Umekulia kwenye Ukristo bahati mbaya umeondoka kwenye Ukristo bila KUMWAMINI YESU NA KUMPOKEA ROHO MTAKATIFU. Hapo huwezi kujua hata chembe ya maana ya Ukristo.
Kazi nyingi kuanzisha maradio ya watu. Nilipoonq thread nikaona mtu kanitaja ndo kuanza kutafuta "pasuwedi" mwisho nikaweza kuingia.
Kwasasa tunakampuni kubwa inadeql na haya mambo:-
1. Ushauri wa Awali wa Hatua za kuanzisha radio.
2. Kuandaa nyaraka za maombi ya leseni.
3. Tuna duka la...
Nikujibu Kitaalam,
1. Serikali kupitia mamlaka huanza kugawa masafa tofauti pale radio inapoomba leseni ngazi ya kikanda (regional) ambapo hupewa masafa 9 (booster stations).
Kiufundi:-
Radio ikifunga mtambo labda tuseme wa 2KW na mfumo wa antenna unaofikia dB14gain tuseme radio hii...
Nimecheka sana na hii comment yako mkuu. Kuna msemo unasema hivi:- UKIPITA DASLAMU UKAUONA MJI UNAPENDEZA NA KUMEREMETA HAYO YALIKUWA NI MAWAZO YA WATU. Nakutakia jioni njema mkuu.
Wakuu habari za Jumapili?
Samahani naomba mawazo ama ushauri ni wapi kwa Tanzania naweza kupata mtalaamu anayeweza kunijengea nyumba ya kawaida ndogo (vyumba 4) kwa kutumia materials kama zinavyoonekana kwenye picha.
Ama mawazo ya namna gani naweza kufanikisha wazo langu hili? Nitashukuru...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.