Naomba niulize swaliSwali lako la tatu lina jibiwa au kutatuliwa na technolojia ya Multiplexing. Frequency moja inaweza kuwa na station zaidi ya moja. Nchi zenye station nyingi zinafanya hivyo kama US.
Naomba niulize swaliSwali lako la tatu lina jibiwa au kutatuliwa na technolojia ya Multiplexing. Frequency moja inaweza kuwa na station zaidi ya moja. Nchi zenye station nyingi zinafanya hivyo kama US.
Mkuu umejibu kisiasa sana ,na sidhani kama hili ni jibu sahihiBado mpaka sasa vifaa local kuwa digital hapa ila kwa ulaya teyari.
Mfano star tv wanatumia frequency moja ya mawimbi TV kuchambua tv zote.
Kwa nini!
Frequency zina masafa yanayo kwenda na geograph na yanapo ishia
View attachment 1719220
View attachment 1719221
Vizuizi
Hali ya hewa mfano ukanda baridi,ukanda wajoto na n.k
Sehemu ya miinuko,ukanda wa bahari,tambarare na n.k
Hivi vote vinaweza kufanya frequency kushinda kufika maana inazidi kupotea kwa kuwa frequency ni wave.
Wave ina tegemeana na uwezo mnaotumia
View attachment 1719222
View attachment 1719223
Kama wave zinazotumia fm ni ngumu kufika mbali sana ila zinaweza kuboreshwa.
Siwezi kueleza kwa kuandika sana
Hapa naanza kuelewa , ni urasimu tu kumbeVery good idea, tatizo ni watu kukatia leseni frequency na kuihodhi, ukiitaka anakwambia nipe bilioni 2 nikuuzie, shida ndio ipo hapo, mtu anaona bora achukue frequency nyingine iliyo tupu
Mkuu umejibu kisiasa sana ,na sidhani kama hili ni jibu sahihi
Jibu ni urasimu , ni kweli majority ya radio za gari za japan zinaishia 90mhz , ndio sababu clouds iliwika kuliko times fmInasemekana Radio nyingi za FM zinalilia kuwepo kwenye FREQ za chini kwa sababu
1. FREQ ndogo = WAVELENGTH kubwa = na so usafiri wa information una cover ENEO kubwa
2. Radio zilizo kwenye magari nyingi zinatoka JAPAN, na ukizichunguza zimeishia kwenye FREQ za chini nafkiri mwisho 90 MHz, hivyo kurusha matangazo yako kwenye masafa haya kunafanya uwe na wasikilizaji wengi
3. Sasa kupata izo FREQ za chini kila mkoa ni issue, ndio maana utapigania upate baadhi ya mikoa na mingine umuachie Mungu muumba
Asante kwq hii nafas adimu mm nimesoma engineering ila mambo ya wqve huwa nabaki kapa nimeona leo tuchuane tu hapa hapaUliza
Very good idea, tatizo ni watu kukatia leseni frequency na kuihodhi, ukiitaka anakwambia nipe bilioni 2 nikuuzie, shida ndio ipo hapo, mtu anaona bora achukue frequency nyingine iliyo tupu
Bado mpaka sasa vifaa local kuwa digital hapa ila kwa ulaya teyari.
Mfano star tv wanatumia frequency moja ya mawimbi TV kuchambua tv zote.
Kwa nini!
Frequency zina masafa yanayo kwenda na geograph na yanapo ishia
View attachment 1719220
View attachment 1719221
Vizuizi
Hali ya hewa mfano ukanda baridi,ukanda wajoto na n.k
Sehemu ya miinuko,ukanda wa bahari,tambarare na n.k
Hivi vote vinaweza kufanya frequency kushinda kufika maana inazidi kupotea kwa kuwa frequency ni wave.
Wave ina tegemeana na uwezo mnaotumia
View attachment 1719222
View attachment 1719223
Kama wave zinazotumia fm ni ngumu kufika mbali sana ila zinaweza kuboreshwa.
Siwezi kueleza kwa kuandika sana
Sawa, ila jibu hoja sasaFrequency ni kipimo cha mawimbi (wave) kwa upatikanaji wake na kazi yake ndio maana inaweza kupimwa kuanziwa kama
Hapa
View attachment 1719394
View attachment 1719395
Kila kipimo kinaweza kusaidia kazi au kutoingilia shughuli za kazi flani.miaka ya zamani SW (short wave) zilikuwa zinaingiliana na redio za jeshi,vyombo vya anga au majini mpaka yule jamaa aliyesikia azana mwezini kumbe ni mawasiliano.
Mipaka ya mawasiliano ndio inaweza kusaidia mawasiliano.
FM ni fupi sana inapovuka inakuwa kazi nyengine tena au maana wevu inapozidi kusogea inatengeneza kazi zingine au kuleta jambo lengine
Asante kwq hii nafas adimu mm nimesoma engineering ila mambo ya wqve huwa nabaki kapa nimeona leo tuchuane tu hapa hapa
Swal langu ni hili wave ni matter au energy ?
Je wave ni flow of what ? Mfano electricity is flow of electron
Tatu io michoro inayoaneshaga frequency .wave length ni graphical representation au ndio wave inavypsafir km nyoka
Sawa, ila jibu hoja sasa
Basi mkuu hukuelewa swali, jamaa ameuliaz kwa nini tikiti Maji fm isimaintain frequency zake za 90mhz kila mkoa inoenda kufunga fm tower?,Siasa zipo wapi.ulishatumia wave WIFI zile zinazotumia kupata huduma yako pale ofisini upate redio
Basi mkuu hukuelewa swali, jamaa ameuliaz kwa nini tikiti Maji fm isimaintain frequency zake za 90mhz kila mkoa inoenda kufunga fm tower?,
Jibu limedhihiri inawezekana sana kufanya hivo na hakuna shida shida ipo kwa hao wanaokupa idhini hawakubali kukupa same frequency.
Naanza kuelewa , kuna utittiri wa gari za kijapan na radio ambazo zinaishia 90mhz , kama kila kituo kingekubaliwa ku maintain frequency zake basi kuna hatari baadhi ya radio zingekuwa hazina wasikilizaji wa magari au baadhi ya radio.
Mkuu tunazungumzia frequency allocation na sio hicho ulichoandika hapaNunua drone alafu tumia jeshini ujue kuwa tikiti maji fm lina fanya kazi.
Kila kitu kina mipaka mpaka leo unaishi na mipaka soma makubaliano ya IEEE
View attachment 1719403
mkuu nimekuelewa vzr sana.Inasemekana Radio nyingi za FM zinalilia kuwepo kwenye FREQ za chini kwa sababu
1. FREQ ndogo = WAVELENGTH kubwa = na so usafiri wa information una cover ENEO kubwa
2. Radio zilizo kwenye magari nyingi zinatoka JAPAN, na ukizichunguza zimeishia kwenye FREQ za chini nafkiri mwisho 90 MHz, hivyo kurusha matangazo yako kwenye masafa haya kunafanya uwe na wasikilizaji wengi
3. Sasa kupata izo FREQ za chini kila mkoa ni issue, ndio maana utapigania upate baadhi ya mikoa na mingine umuachie Mungu muumba
Mkuu tunazungumzia frequency allocation na sio hicho ulichoandika hapa
Mkuu frequency allocation ni kazi ya tcra , nazungumzia allocation na sio location .Kwani location inaanzia wapi redio kama tikiti maji fm unataka ifike mkoa wako kwa masafa hayo
Kukoroma sio kwa sababu ya namba ya izo FREQ bali ni jinsi information iliyobebwa ndani hiyo BAHASHA (114) kufanyiwa coding ambayo kwa ki'ANALOGUE tunaita AMPLITUDE MODULATION AMmkuu nimekuelewa vzr sana.
Ndio maana kuna zile frequency unakuta labda ni 114 huwa zinakoroma sana.