Mnadhani Siasa ni internet bundle eehh [emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] siasa ni vitendo mzee siasa sio ku type vijembe na nyaraka mitandaoni.... Haya ya huku hayawafikii wananchi.... Pia mjue wengi wanaoshinda humu mitandaoni licha ya kudharau pia hawana time na kupanga...
DUHH... HAHAHAHA KAAZZ KWELIKWELI....... HIYO RESEARCH CONSULTANT FIRM YENU ...NI JIPU...
INAHITAJI KUTUMBULIWA -ASAP- hizo TESTES ulimaanisha KENDE ama nini??
na vitu vyenye umeelezea hapo... it seem ww ni either Kibaha au dalali tuuu..... Hujui kitu kwenye hiyo field...
Ni mnyoo Anaitwa GUINEA WORM au LITTLE DRAGON OF MEDINA ni huyo mnyoo kumtoa mwilini ilikua lazima uchomeke stick na kuizungusha ndio umtoe....
sasa baada ya jaribio hilo kufaulu ni alama ya ushindi kwenye sekta ya afya ulimwenguni.
ila wataalamu wa udakitari na afya wanajuza vizuri kuliko mimi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.