Acheni chaguzi ndogo zije ili waone kama sera ya kutumbua majipu inalipa

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,993
144,329
Habari wakuu,

Hawa jamaa hivi sasa ni kama wamebweteka na sera yao ya kutumbua majibu wakidhani wananchi wanawakubali sana ili hali sera yao hiyo imejaa doublestandard huku miezi minane ya utawala wa awamu hii ukiwa haujaleta changes zozote kwa mwananchi wa kawaida zaidi tu ya kuongeza ugumu wa maisha.

Hivyo basi,nyie wacheni chaguzi ndogo zije ili tuwatie adabu na waju kuwa wananchi sio wajinga kama wanavyofikiri.

Hata hivyo, ni lazima tujipange katika katika kulinda kura zetu kwa kuweka watu/mawakala ambao hawataweza kununulika au kurubuniwa kwa njia yoyote ile.

Nina hamu sana na hawa jamaa maana kelele zimezidi wakidhani jamaa yao ndio atawabeba kwa anayoyafanya na wanajidanganya kuwa mheshimiwa sana anakubalika kutokana na style ya uongozi wake hivyo wacheni tuwatie adabu na kuwanyamazisha kupitia majukwaa ya kisiasa.
 
Habari wakuu,

Hawa jamaa hivi sasa ni kama wamebweteka na sera yao ya kutumbua majibu wakidhani wananchi wanawakubali sana ili hali sera yao hiyo imejaa doublestandard huku miezi minane ya utawala wa awamu hii ukiwa haujaleta changes zozote kwa mwananchi wa kawaida zaidi tu ya kuongeza ugumu wa maisha.

Hivyo basi,nyie wacheni chaguzi ndogo zije ili tuwatie adabu na waju kuwa wananchi sio wajinga kama wanavyofikiri.

Hata hivyo, ni lazima tujipange katika katika kulinda kura zetu kwa kuweka watu/mawakala ambao hawataweza kununulika au kurubuniwa kwa njia yoyote ile.

Nina hamu sana na hawa jamaa maana kelele zimezidi wakidhani jamaa yao ndio atawabeba kwa anayoyafanya na wanajidanganya kuwa mheshimiwa sana anakubalika kutokana na style ya uongozi wake hivyo wacheni tuwatie adabu na kuwanyamazisha kupitia majukwaa ya kisiasa.

Marejesho yako je ya chaguzi ndogo, plz.
 
Mnadhani Siasa ni internet bundle eehh siasa ni vitendo mzee siasa sio ku type vijembe na nyaraka mitandaoni.... Haya ya huku hayawafikii wananchi.... Pia mjue wengi wanaoshinda humu mitandaoni licha ya kudharau pia hawana time na kupanga foleni kupiga kura au kufanya kampeni mitaani....
 
Usisahau hawa ni wezi wakubwa sana wa kura Mkuu.

Habari wakuu,

Hawa jamaa hivi sasa ni kama wamebweteka na sera yao ya kutumbua majibu wakidhani wananchi wanawakubali sana ili hali sera yao hiyo imejaa doublestandard huku miezi minane ya utawala wa awamu hii ukiwa haujaleta changes zozote kwa mwananchi wa kawaida zaidi tu ya kuongeza ugumu wa maisha.

Hivyo basi,nyie wacheni chaguzi ndogo zije ili tuwatie adabu na waju kuwa wananchi sio wajinga kama wanavyofikiri.

Hata hivyo, ni lazima tujipange katika katika kulinda kura zetu kwa kuweka watu/mawakala ambao hawataweza kununulika au kurubuniwa kwa njia yoyote ile.

Nina hamu sana na hawa jamaa maana kelele zimezidi wakidhani jamaa yao ndio atawabeba kwa anayoyafanya na wanajidanganya kuwa mheshimiwa sana anakubalika kutokana na style ya uongozi wake hivyo wacheni tuwatie adabu na kuwanyamazisha kupitia majukwaa ya kisiasa.
 
Habari wakuu,

Hawa jamaa hivi sasa ni kama wamebweteka na sera yao ya kutumbua majibu wakidhani wananchi wanawakubali sana ili hali sera yao hiyo imejaa doublestandard huku miezi minane ya utawala wa awamu hii ukiwa haujaleta changes zozote kwa mwananchi wa kawaida zaidi tu ya kuongeza ugumu wa maisha.

Hivyo basi,nyie wacheni chaguzi ndogo zije ili tuwatie adabu na waju kuwa wananchi sio wajinga kama wanavyofikiri.

Hata hivyo, ni lazima tujipange katika katika kulinda kura zetu kwa kuweka watu/mawakala ambao hawataweza kununulika au kurubuniwa kwa njia yoyote ile.

Nina hamu sana na hawa jamaa maana kelele zimezidi wakidhani jamaa yao ndio atawabeba kwa anayoyafanya na wanajidanganya kuwa mheshimiwa sana anakubalika kutokana na style ya uongozi wake hivyo wacheni tuwatie adabu na kuwanyamazisha kupitia majukwaa ya kisiasa.
Utakuwa umejua sasa maana ya chaguzi. Tuweke akiba ya maneno maana 2020 ni jirani lazima JPM azoe zaidi ya asilimia 70.
 
Tumekosa ubunge dimani Zanzibar, naomba kujua kata tulizopata huku bara!
 
Back
Top Bottom