Recent content by R.K

  1. R.K

    Natafuta mke tajiri

    Hili ni tangazo la upinde
  2. R.K

    Wahitimu wa Cuba naombeni msaada wenu tafadhali

    Kwa bahati mbaya nimechelewa kuona hii ishu yako, nilishakutana na kitu kama hiki, ki msingi ungetakiwa kudeal na ileile msg aliyoikosea sasa ungefanyaje? Baada ya kurudi home ilitakiwa umkazie athibitishe pasi na shaka alikua anachat na huyo aliemtaja.
  3. R.K

    Atakayenionesha andiko linalosema mke na mume walifungishwa ndoa na kiongozi wao wa dini nampa laki 1 akale sikukuu

    Kwenye ukatoliki wanaweka wazi kabisa kua Padri hafungishi ndoa bali husema wanashuhudia ndoa anaefungisha ndoa ni Mungu mwenyewe kwa maana ndiye aliewaunganisha wahusika. Mimi nilipata fursa ya kuwahoji baadhi ya mapadri wakanijibu wao ni mashuhuda tu.
  4. R.K

    Wanaume wenzangu hii ikoje

    Wakati mwingine vijana mnapenda kujichosha demu umekutana nae kwenye bus ukampata siku hiyohiyo wewe unaweka malengo kabisa alafu eti unakua na wivu, inawezekana alikuzawadia tu ila ana mtu wake. Achana nae
  5. R.K

    KWELI Malaria inaweza kusababisha kuona mauza uza na kuota ndoto za ajabu

    Hii kitu iliwahi kunitokea baada ya kutibiwa ikaisha
  6. R.K

    Je, umeshawahi kupata mchongo mzuri wa kukuinua kimaisha ila tamaa zako zikakuharibia?

    Nyie mnaoanzisha thread kama hizi hua mnatukosea sana mmekua mnakurupuka kutuuliza bila hata nyie kuhusika na hicho mnachouliza, weka wewe kwanza kisa chako na sisi tutiririke kama mimi nina mengi ila siwezi kuyashusha hapa kama wewe umeuliza alafu unakaa pembeni.
  7. R.K

    Ni hatua gani za kufuata wakati wa kununua kiwanja kwa mara ya kwanza?

    Jamaa kauliza hapo juu je kunakua na ushahidi wowote kua siku flani ulisavey maana Tanzania yetu tunaijua leo unaambiwa ni makazi kesho kuna mzito katia pesa ndefu unaambiwa matumizi yamebadilishwa.
  8. R.K

    Kimasihara imeniponza. Members wa kimasihara naombeni mnifariji

    Siku nyingine usirudie, kuna mbinu mbili tu 1. Kuomba kwa upole hiyo ukikosa unatulia kama hutaki. 2. Kuforce, hii inatakiwa ujihakikishie mazingira yanaruhusu na hutakiwi kuongea sana na usiruhusu kusikiliza chochote mpaka uhakikishe umetoboa na asikudanganye mtu watoto wa kike wanapenda...
  9. R.K

    Tukutane hapa tuliowahi kufanya mapenzi na binamu au ndugu zetu wa karibu

    Namshukuru Mungu mpaka umri huu 30+ sijawahi cheza na binam yoyote.
  10. R.K

    Nipo kwenye fadhaa ndugu zangu; nimeota nafanya mapenzi na dada yangu!

    Ndoto ni njia ya wewe kupewa taarifa flani, inawezekana Mungu akawasiliana na wewe kwa njia ya ndoto au shetani anaweza akatumia njia hiyohiyo ya ndoto. KITU CHA MUHIMU KUHUSU NDOTO SIO KUJUA TAFSIRI YAKE BALI NI KUISHUGHULIKIA. NA USIACHE SIKU 3 ZIKAPITA BILA KUISHUGHULIKIA Unaishughulikiaje...
  11. R.K

    Hili swali linanitatiza sana, kuna utaratibu wowote wa mwanajeshi kuacha kazi, pale anapotakiwa kwenda vitani?

    Hili swali kwa kiasi fulani limekaa ki’mbumbumbu, samahi kwa hilo neno nililotumia. Inabidi utambue kila mtu hapa ulimwenguni yupo kwa kusudi flani/maalumu. Na ukijua kusudi lililokuleta hutaogopa hatari yoyote. Kwahiyo unapomuona mwanajeshi wa kweli alieapa kuilinda nchi yake ujue ujeshi wake...
  12. R.K

    Majambazi Wakenya Walivyotikisa na Kuweka Historia Kanda ya Kaskazini Nchini Tanzania

    Mkuu weka wazi nini tufanye umalizie stori
Back
Top Bottom