Yeeeeeees raaaaaaastaman.......get dis gwain
COMING FROM THE COLD (baadhi ya mistari........ the big man u ever seen was once a baby.............when on door is closed many other are open......bob 4 life he is a sleep bt his philosophy is still awake.
Nikweli mdau mimi ni miongoni mwa wadau wa uchum hapa nchin japo sijigambii...na nazitumia hizo istitution ila ukweli nikwamba wanajijali zaidi na sio kujali wanachama......kainterest wanatoa ila ukilinganisha na law ya creadit creation...ni kwamba hawana tofauti na monopolist in market...
Mmenena vijana......ila tukumbuke usipo ona umuhimu wa golikipa uwanjani basi subiri kufungwa na hichi ndicho kulicho tokea tz. Na kuieka kwenye genius book of record....kwa tukio la kufuta matokeo kisa wanafunz yapata lakitana asilimia 20 tuu ndo wamefaulu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.