Recent content by qvee

  1. Q

    Kila nikijaribu kufikiria nimeachwa naona ndoto

    Kweli yani ukiachwa unahic kama muda hauendi umesimama. Kuachwa ni zaid ya taabu
  2. Q

    Fahamu faida za Mwanamke mwenye msambwanda mkubwa wakati wa tendo

    Afadhali wembamba tunadharaulika kama nini Mbona mnataka tumkufuru mwenyezi Mungu. Mnafanya wanawake watumie makalio just to impress men. time will tell
  3. Q

    Ultimate maca pills

    Habarini wadau, Anaeijua hii bidhaa inapatikana wapi anijulishe nna shida nayo sana time will tell
  4. Q

    Natafuta mwanamke wa kuzaa nae tu

    Mm apa nimekuja ila rangi yangu in ya chungwa time will tell
  5. Q

    Mama yangu ni Bonge la mpambanaji

    Mpaka nimelia pole sana kiongozi time will tell
  6. Q

    Mama yangu ni Bonge la mpambanaji

    Wanawake tuwe wapambanaji kwa kweli time will tell
  7. Q

    Je, haya mapenzi tunayafaidi kama tulivyokuwa tukiyatamani tukiwa bado watoto au yanatuchakaza?

    Kumbe na ww unakuaga na mawazo kama yangu time will tell
  8. Q

    Don't promise!

    Amekiri kuwa anampenda huyo aliezaa nae. Japo alinidanganya kuwa hana mawasiliano nae na hawez kumuoa. Bt mambo yaliyojiri mpk sielewi alikuwa na nia gani time will tell
  9. Q

    Don't promise!

    Ke time will tell
  10. Q

    Don't promise!

    Thank u sana time will tell
  11. Q

    Don't promise!

    Unataka kunambia hataolewa? time will tell
  12. Q

    Don't promise!

    Jamani katika maisha tusipende kutoa ahadi ambazo hatuezi kutekeleza. Tusipende kusema uongo. Just imagine unamuahidi MTU kutwa utamuoa eti hutokuja kumuacha, bad enough unafanya kila uwezalo umuaminishe mtu. Akati unajua huwez kufanya Yale unayoahidi Siumii kwa sababu nimeachana nae ila kila...
  13. Q

    Ex wangu hajibu hata salamu yangu

    Ntafanya ivo time will tell
  14. Q

    Ex wangu hajibu hata salamu yangu

    Hahahahaha time will tell
Back
Top Bottom