Afadhali wembamba tunadharaulika kama nini Mbona mnataka tumkufuru mwenyezi Mungu. Mnafanya wanawake watumie makalio just to impress men.
time will tell
Amekiri kuwa anampenda huyo aliezaa nae. Japo alinidanganya kuwa hana mawasiliano nae na hawez kumuoa. Bt mambo yaliyojiri mpk sielewi alikuwa na nia gani
time will tell
Jamani katika maisha tusipende kutoa ahadi ambazo hatuezi kutekeleza. Tusipende kusema uongo. Just imagine unamuahidi MTU kutwa utamuoa eti hutokuja kumuacha, bad enough unafanya kila uwezalo umuaminishe mtu. Akati unajua huwez kufanya Yale unayoahidi
Siumii kwa sababu nimeachana nae ila kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.