Mama yangu ni Bonge la mpambanaji

Mama yangu ni Bonge la mpambanaji

Acha tu niseme bi mkubwa wangu ni bonge la fighter.. Licha ya kaz anayofanya Kua na maslahi madogo lakini mambo anayoyafanya ni makubwa.. Mama yangu ni mwalimu wa shule ya msingi ila mungu kamjalia akili ya MAISHA..

Maisha ya walimu wa S/M wengi mnayajua ni mwendo wa madeni tu mwanzo mwisho Deni linaisha uku linakuja uku.... Mpka muda mwingine unataman kuacha kazi.. Kuna kipind mama alishawai kunitamkia ivo nikiwa form 2.. Nikamwambia pambana.. Lakin kwa msoto wote uo bado bi mkubwa.. Kasimama.. Anawasaidia sana ndugu zake, anatusomesha sisi wanae mpka ndugu zake.. , anawahudumia wazaz wake kadri awezavyo..

Kwnye family tupo wa 3.. Mim kama first born na wenzangu wa 2 (wote wa kike).. Kingine ninachoshukulu kwa bi mkubwa ametupanga vizul.. Imagine mim kama mtto wa kwanza nipo chuo kikuu kimoja cha AFYA hapa nchini nimebakiza semester moja nimalize tunaisubil COVID-19.. ila anaenifatia yupo form 3.. Na anaefata Ndio ameanza darasa la kwanza mwaka huu ( 2020).. Nais hii imempa muda mzul..

Kama first born najitahid Ku play part yangu vizul sana ikiwemo kujenga uaminifu. Mkubwa sana kuna kipind nikiwa likizo alinipa pesa nisimamie ujenz wa nyumba.. Bas mjengo unaanza mpka unakamilika sijaichukua hata.. TSh.100.. Expenditure zote nilizofanya nilikua nazinote kwnye notebook.. Baada ya ujenz kuisha nikamkabidh zile kalatasi nikamwambia matumiz Ndio kama hayo na pesa full ulizonikabidh zilikua hizi na zilizobaki hizi.. Daah kiukwel hakuamini nais alidhani pesa yote ingeisha.. Akamega kias. flan cha pesa akanipa.. Guys hakuna jambo zuli kwnye kazi za watu kama UAMINIFU.. Ukiwekwa sehemu acha Tamaa.. Toka siku hiyo hakuna password yake nisiyoijua kuanzia BANK mpka miamala ya kwnye simu.. Kila jambo la maendeleo analotaka kufanya lazima anishilikishe.

Honestly bi mkubwa ni mtu wa kubana sana SAVING zinamtoa sana na miradi yake mengine.. Kuna siku aliniambia mwanangu ukianza kujitegemea jalibu kuweka walau 10% ya Pato lako kwa mwezi.... Kulingana na kipato chako.. Akanimbia usiwe mtu wa kumaliza elfu 20 Au 15 kwa siku kwnye kula tu.. Hahaha mwenyewe ana msemo wake anasemaga "TUMBO HALINA SHUKRAN" ila siku moja moja sio mbaya Una enjoy vitu vizul.. Daaaah Mungu niwekee mama yangu Nami nije kumlea... Inshaallah

Mungu awape nguvu wakina mama + wakinadada wapambanaji wote na kuendeleza hizi race.. Uwe umeajiliwa, umejiajili, Au umeajiliwa + kujiajili) mwenyezimungu awazidishie..

Kama hii thread imekuja sehemu sio mniwie radhi wakuu maana hili Ndio jukwaa langu pendwa Humu JF . na linalotembelewa na watu wengi.. Finally tujikinge na COVID-19..

Nawasilisha
From Caglar SOYUNCU



Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo linaanzia hapa mama anaweza kuwa bonge la fighter lkn watoto wanaweza kuwa boooonge la viazi lkn sikusemi wewe mpenzi uko wapi? Njoo in box mama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kingine nilichogundua kwnye mambo ya kuajiliwa mshahara sio inshu sana wa ww kutoboa kimaisha japo sometimes.. Vice versa is true kama Utatuliza kichwa. maana kuna siku nakaa nafikilia iv ingekuaje bi mkubwa angekua apokea mamilioni ya pesa

Maana kichwa yake imetulia si mchezo ana business idea za kibabe sana.... Angekua anapokea mamilioni angefanya wonders( maajabu) kuna siku alishawai kuniambia

Mwanangu mim mama yako Ata kama ingekua sina hii kazi ya ualimu ila ningetoboa tu kimaisha na mngeish vizul

Nakupenda mama.. Live long..

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake tuwe wapambanaji kwa kweli

time will tell
 
Big Up kwa my mummy elimu ya computer imetambaa kichwani - ChoirMaster - Binamu B
 
Aaaah apana maza bado yupo kwnye ndoa na mzee.. Ila faza aliajiliwa bank flan iv miaka ya nyuma baada ya mambo mambo kutokea.. Akafukuzwa kazi.. Ila bado wapo kwnye ndoa mpka dkk hii
Mbona sijaskia ukimtaja dingi kabisa yan...
Au mkuu wewe ni product ya single maza?
Singlers wanapataga akili za ziada kuraise familia bila kichwa (baba) sio mchezo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha tu niseme bi mkubwa wangu ni bonge la fighter. Licha ya kazi anayofanya kua na maslahi madogo lakini mambo anayoyafanya ni makubwa. Mama yangu ni mwalimu wa shule ya msingi ila mungu kamjalia akili ya MAISHA..

Maisha ya walimu wa S/M wengi mnayajua ni mwendo wa madeni tu mwanzo mwisho Deni linaisha uku linakuja uku. Mpka muda mwingine unataman kuacha kazi. Kuna kipind mama alishawai kunitamkia ivo nikiwa form 2. Nikamwambia pambana. Lakini kwa msoto wote uo bado bi mkubwa. Kasimama.. Anawasaidia sana ndugu zake, anatusomesha sisi wanae mpka ndugu zake, anawahudumia wazazi wake kadri awezavyo.

Kwenye family tupo wa 3.. Mimi kama first born na wenzangu wa 2 (wote wa kike).. Kingine ninachoshukulu kwa bi mkubwa ametupanga vizuli, Imagine mimi kama mtoto wa kwanza nipo chuo kikuu kimoja cha AFYA hapa nchini nimebakiza semester moja nimalize tunaisubil COVID-19. ila anaenifatia yupo form 3.. Na anaefata Ndio ameanza darasa la kwanza mwaka huu ( 2020). Naisi hii imempa muda mzuri

Kama first born najitahid ku play part yangu vizuri sana ikiwemo kujenga uaminifu. Mkubwa sana kuna kipindi nikiwa likizo alinipa pesa nisimamie ujenzi wa nyumba.. Basi mjengo unaanza mpka unakamilika sijaichukua hata. TSh.100. Expenditure zote nilizofanya nilikua nazinote kwenye notebook. Baada ya ujenzi kuisha nikamkabidhi zile kalatasi nikamwambia matumizi Ndio kama hayo na pesa full ulizonikabidhi zilikua hizi na zilizobaki hizi.. Daah kiukwel hakuamini naisi alidhani pesa yote ingeisha.. Akamega kias. flan cha pesa akanipa.. Guys hakuna jambo zuli kwenye kazi za watu kama UAMINIFU.. Ukiwekwa sehemu acha Tamaa.. Toka siku hiyo hakuna password yake nisiyoijua kuanzia BANK mpka miamala ya kwnye simu.. Kila jambo la maendeleo analotaka kufanya lazima anishilikishe.

Honestly bi mkubwa ni mtu wa kubana sana SAVING zinamtoa sana na miradi yake mengine.. Kuna siku aliniambia mwanangu ukianza kujitegemea jalibu kuweka walau 10% ya Pato lako kwa mwezi.... Kulingana na kipato chako.. Akanimbia usiwe mtu wa kumaliza elfu 20 Au 15 kwa siku kwnye kula tu.. Hahaha mwenyewe ana msemo wake anasemaga "TUMBO HALINA SHUKRAN" ila siku moja moja sio mbaya Una enjoy vitu vizul.. Daaaah Mungu niwekee mama yangu Nami nije kumlea... Inshaallah

Mungu awape nguvu wakina mama + wakinadada wapambanaji wote na kuendeleza hizi race.. Uwe umeajiliwa, umejiajili, Au umeajiliwa + kujiajili) mwenyezimungu awazidishie..

Kama hii thread imekuja sehemu sio mniwie radhi wakuu maana hili Ndio jukwaa langu pendwa Humu JF . na linalotembelewa na watu wengi.. Finally tujikinge na COVID-19..

Nawasilisha
From Caglar SOYUNCU



Unamsifia tu mama kwanini dingi hujampa hata kasifa kaduchu?
Wanaumia sana wasipopewa credits.
Mpe hata hongera ya kuoa mke mpambanaji
 
Kingine nilichogundua kwnye mambo ya kuajiliwa mshahara sio inshu sana wa ww kutoboa kimaisha japo sometimes.. Vice versa is true kama Utatuliza kichwa. maana kuna siku nakaa nafikilia iv ingekuaje bi mkubwa angekua apokea mamilioni ya pesa

Maana kichwa yake imetulia si mchezo ana business idea za kibabe sana.... Angekua anapokea mamilioni angefanya wonders( maajabu) kuna siku alishawai kuniambia

Mwanangu mim mama yako Ata kama ingekua sina hii kazi ya ualimu ila ningetoboa tu kimaisha na mngeish vizul

Nakupenda mama.. Live long..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sikiliza nikuambie kitu:-

Inawezekana angekuwa analipwa mshahara mkubwa sana asingekuwa na akili ya kufanya hayo

Mimi Mzee wangu alikuwa na nafasi nzuri sana serikalini na mshahara mkubwa miaka ya 1985-1994 tukiwa wadogo lakini kipindi hicho ndicho alichokuwa anamsumbua sana mama na kumpa Headache, alikuwa analewa sana na rafiki zake watatu na ni Mkorofi

Akaenda kuongeza elimu, hali iliyomfanya apandishwe cheo...ghafla marafiki zake wakaingia kwenye biashara ya madini (Ubroker) na wakamshawishi atoke serikalini wapige hizo mishe...alipata pesa ya dili moja tu baada ya hapo hakuna kitu tena...wenzake wawili ni marehemu sasa

Akawa na maisha ya kawaida sana na Adabu home, hamsumbui mama, anatunza familia...akajifunza hapo. From 2009 at least mambo yametulia nayeye ametulia

What to learn???

Ni kwamba maendeleo sio kuwa na pesa nyingi, LAH, na unaweza kupewa nyingi ikakuuwa au ikakuharibia familia NA unaweza kuwa na kidogo ukafanya maendeleo makubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heshima kwake bi mkubwa,mimi wangu nahakikisha anafurahi sasa mana kapata tabu sana kutulea.
 
Daah sema ilo nalo neno kikubwa Ata pesa nayo inahitaji "NIDHAMU"
Mkuu sikiliza nikuambie kitu:-

Inawezekana angekuwa analipwa mshahara mkubwa sana asingekuwa na akili ya kufanya hayo

Mimi Mzee wangu alikuwa na nafasi nzuri sana serikalini na mshahara mkubwa miaka ya 1985-1994 tukiwa wadogo lakini kipindi hicho ndicho alichokuwa anamsumbua sana mama na kumpa Headache, alikuwa analewa sana na rafiki zake watatu na ni Mkorofi

Akaenda kuongeza elimu, hali iliyomfanya apandishwe cheo...ghafla marafiki zake wakaingia kwenye biashara ya madini (Ubroker) na wakamshawishi atoke serikalini wapige hizo mishe...alipata pesa ya dili moja tu baada ya hapo hakuna kitu tena...wenzake wawili ni marehemu sasa

Akawa na maisha ya kawaida sana na Adabu home, hamsumbui mama, anatunza familia...akajifunza hapo. From 2009 at least mambo yametulia nayeye ametulia

What to learn???

Ni kwamba maendeleo sio kuwa na pesa nyingi, LAH, na unaweza kupewa nyingi ikakuuwa au ikakuharibia familia NA unaweza kuwa na kidogo ukafanya maendeleo makubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom