Wazee ambao ndio wanapewa kipaumbele hawataki hata kusikia habari ya chanjo, ushauri wangu pengine viongozi wetu ngazi za juu wangeanza kuchanjwa kwanza wao ili kuleta hamasa na kuwadhibitishia wananchi kuwa haina madhara.
Ndugu kwa ambae anafahamu shule nzuri ya wasichana yenye gharama nafuu anisaidie, kuna mtoto wa dada yangu kamaliza mwaka huu darasa la saba na wazazi wamechelewa kumtafutia shule, kwa anaejua ukiniambia na gharama za shule husika itapendeza zaidi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.