Sina mpango wa kupiga kura tena katika maisha yangu yaliyobakia duniani. Wanasiasa wote ni waongo, kuleta maendeleo ni wajibu wao hakuna sababu ya kupongezwa tumewapa dhamana ya kumiliki kodi zetu zote wanazotukamua haina sababu akifanya kitu lazima apongezwe ila asipofanya na hela zetu...
Mihangaiko personal kama hii kwanza unaanza na ndugu zako, then ukiona hali imekuwa tight ndio unakuja kwa jamii, nadhani umekosea ni ngumu sana kukusaidia katika namna uliyokuja haswa ukizingatia umeweka hadi kiwango hii inaonesha MASHAKA kidogo. Jaribu kwa jamii yako ya karibu, kaka, dada...
Jamani ninyi DAWASCO kule Mbezi Maeneo ya Malamba Mawili ni lini mtatuletea mabomba ya maji na maji yatoke ?? Tuna shida sana ya maji sana jamani maana tunasikia tu sasa hv mnazalisha maji mengi sana lakini wenzenu tunateseka tunanunua maji ya kwenye Magari Zaidi ya miaka mi nne sasa, maji hayo...
sio lazima kuhojiwa ili iweje na itabadilisha nn akihojiwa, achene amalize muda wake afanye anayoyaamini then tutachagua rais mwingine anayependa kuzurura huko Uraya, mbona kama misaada wanaleta bila ya yeye kuifuata, musitake kumuahibisha na vingereza vyenu vya Academy school mtoto wa mkulima...
NI LINI MTASAMBAZA MAJI MAENEO YA KUANZIA MBEZI MWISHO KUPITIA BARABARA YA MALAMBA MAWILI MPAKA KINYEREZI, TUNAPATA SHIDA SANA JAMANI TUNANUNUA MAJI KWA BEI GHARI SANA NA SOMETIME WAUZAJI WANATUUZIA MAJI MACHAFU NA YENYE CHUMVI KILIO CHET MTAKIMALIZA LINI. MAANA TUNASIKIA TU MNA MAJI MENGI SASA...
Hii professional kusoma mizengwe mshahara hakuna tunazidiwa na watu wanasoma vitu laini kama sociology au community courses. Kaeni na CPA yenu, after all with technology intervention kila kitu kinaenda kuwa programmed na mhasibu anaelekea kuwa karani Zaidi kwa kufanya filling na administrative...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.