Usiache demu Guest

Usiache demu Guest

Utakufa pimbi wewe unajivunia ujinga, tafuta maisha yako saidia ndugu zako acha uasherati
 
PIA KUNA WAHUDUMU WA GUEST WANAFANYA DILI ZA KUWAFANYIA CONNECTION WANAWAKE WALIOACHWA GUEST... JAMAA WANAKUJA KUMALIZIA GEMU... NA KUNA MADEMU WANAZIJUA HIZO GUEST KWA HIYO UKIFELI KUPIGA MZIGO DEMU ANAMTEXT MUHUDUMU
 
Utakufa pimbi wewe unajivunia ujinga, tafuta maisha yako saidia ndugu zako acha uasherati


Uliza wanaokufa wanakufa na nini? Cha maana ulichosema ni kuacha uasherati na si hizo lumbelele
 
PIA KUNA WAHUDUMU WA GUEST WANAFANYA DILI ZA KUWAFANYIA CONNECTION WANAWAKE WALIOACHWA GUEST... JAMAA WANAKUJA KUMALIZIA GEMU... NA KUNA MADEMU WANAZIJUA HIZO GUEST KWA HIYO UKIFELI KUPIGA MZIGO DEMU ANAMTEXT MUHUDUMU


Kweli kabisa, Mjini wanaishi wenye digrii
 
Pamoja na sifa zote hizo huo ni mzoga baba uliokota wakati mwenyewe aliutumia ipasavyo akasepa. Demu atajiona ana bahati maana wapiga biashara usiku na asubuhi hahaha mjasiriamali huyo Sinza wamejaa kibao


Mwanamke yoyote ni mzoga ikiwa hukumuoa bila bikra. Usijipe moyo
 
Hadithi za Esopo, Karumekenge alikataa kwenda shule, Hekaya za Abunuwasi, Alifu lela u lela, Makumazani, Umslopagazi, Au siku elfu na moja, ....Fyekaaa, Fyekaaaa, Fyekelea mbali..!


Hhahahahah!!
 
Ila watoto wa mjini pia tunajua hilo ni tego, ulishasomwa movements zako. Kama bado hujapigwa basi kaa mkao wa kula.
 
Back
Top Bottom