Recent content by Queenbety

  1. Queenbety

    Kwa wanao hitaji mafuta ya Mnyonyo

    Ndio yanatumika kwa body massage hasa ukijiskia uchovu Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
  2. Queenbety

    Kwa wanao hitaji mafuta ya Mnyonyo

    Bei ni 10000/ mils200 Kwa afya yanatumika kwa mgonjwa alie paralyze, maumivu kwenye joints, maumivu ya uti wa mgongo, kiuno nk, maumivu ya tumbo la hedhi. Namna ya kutumia: kwa maumivu ya hedhi unsjipaka kwenye kitovu. Na maumivu ya uti wa mgongo, joints, kiono nk unajimassage. Pia huondoa...
  3. Queenbety

    Waziri Nape Nnauye, jiuzulu kulinda heshima yako!

    [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]
  4. Queenbety

    Kwa wanao hitaji mafuta ya Mnyonyo

    Mafuta ya Mnyonyo ni dawa ya asili inayo tibu maradhi mengi kwa binadamu pia hutumika kurefusha nywele na kuilinda ngozi. Jipatie kwa bei nafuu.... Kwa mawasiliano zaidi 0675078843/0765734842
  5. Queenbety

    Nampenda san lakin ni msaliti.

    Kwani ana TV ndani!!!?
  6. Queenbety

    Kama tulimpigania Maxence Melo akawa huru sasa tupambane kwa nguvu zetu Paul Makonda ang'olewe

    Uko sahihi sana Hata mimi naumia sana watu kuzungumzia swala wasilo na uhakika nao istoshe jamaa anatetea nguvu kazi ya vijana ambao walishaathirika, Hao wenye vyeti vinavyofaa mbona hawaja simamia swala la dawa? Au na mtoa post ni mnufaika!!!?
  7. Queenbety

    ANGALIZO: Ongezeko la joto nchini mwezi Machi

    [emoji1] [emoji1] [emoji1]
  8. Queenbety

    ANGALIZO: Ongezeko la joto nchini mwezi Machi

    Duh kweli maana mm nakunywa maji sana lakini kiu haiishi yan
  9. Queenbety

    Wamama tupunguze unyanyasi kwa watoto wa wenzetu

    Inauma sana coz mimi mwenyewe ni mwathirika wa hilo
  10. Queenbety

    CRDB Is this stupidity or lack of caring?

    Tatizo wanapeana ajira kwa kujuana bila kujali professional ya mtu ndo chanzo chanzo cha hayo yote
  11. Queenbety

    Kashfa: Tigopesa wanadhulumu hela za wateja?

    Tigo majambazi, mimi nawapenda sana voda nakumbuka last year nlituma pesa kimakosa nikawasiliana na customer care baada ya kukata simu hela ilirudi hapo hapo
  12. Queenbety

    Gairo tunateseka sana shida ya maji

    Jamani huku kwetu morogoro wilaya ya Gairo kuna shida sana ya maji yaana unakuta maji yanakaa muda mrefu hayatoki kiasi kwamba ndoo moja 1500 halafu mbunge yupo Dodoma anakula bata inauma sana
Back
Top Bottom