ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,715
- 28,267
This is bull shit men...inabidi tufike pahala hata ATM card tusitumie....unaingiza tu namba za siri.....Harafu ukienda na ATM card ya CRDB kwenye ATM ya NBC hairudi tena. NBC hawatakupa. Inabidi urudi tawi lako la CRDB wakupe card mpya ambayo ukiwa na bahati inachukua week mbili
Inaelekea kuna makubaliano bank hizi mbili kutoruhusu kadi ya mwenzake kwenye ATM zake. Watuweke wazi tusihangaike kupata kadi mpya kila wakati.
Angalau kwa NBC replacement ya kadi haichukui zaidi ya nusu saa.
Sasa tufike mahali kama wenzetu huko mbeleni ATM wala hazina nembo ya bank yoyote. Kila mtu anatumia bila kujali bank yake