Hii nyimbo ni noma, kila napopita inapigwa mno, tangu Jana..nasikiliza sijaichoka..aisee huyu jamaa acha kabisa.... Ila Raymond bana.... "Ueeehhh mwenzako nyang'anyang'aa.. Uh mieee binzari we ndo nyanyaa, ngwangwaa isimamie kama kangaroo, uibane kama gwaruu... Huku nyuma babu nipige...
Duh swala la hela ishakuwa jipu, wanawake so in love na mihamala, sms za kuthibitishwa ndo sms zenye neno zuri la penzi, we jimalize apo sijui umemfia unamuota unamnini...anakuja bwege mmoja na sms yake ya muhamala anambeba
Yaan mimi mwanaume tukutane dk chache tena unione mgahawani hlf uanze kunieleza hisia za kunifia sijui mavimavi gani, unanijua?!. Ndo maana akakuomba hela either kukupima au kukufukuza. Mwanaume wa kweli haogopi kumuhudumia mwanamke anaedai kampenda. Cheki sasa kihela kidogo kama hicho...
Jamani wapendwa wa jf, mnaomuomba hendsamu picha, kashawaambia muangalie profile "mtaona tukichwa tudogo" hlf mtajiridhisha wenyewe kama ndio au hapana....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.