Recent content by Queen Kan

  1. Queen Kan

    Hivi kuna njia yeyote ya kuacha kubet?

    Hakujua asanehewe😅
  2. Queen Kan

    Hivi kuna njia yeyote ya kuacha kubet?

    Mai wako🤣
  3. Queen Kan

    Angalia Treni za umeme zilivyolala hapa nchini China. Sisi tuna miliki nyoka wangapi?

    Huu uzi jana niliogopa kufungua nikijua ni nyoka nadhani kichwa cha habari kimeeditiwa, BTW: Kuishi Tz ni mtu usiwe na hasira
  4. Queen Kan

    Waigizaji wa Tanzania wana la kujifunza kwenye tamthilia ya Mpali

    Kuna yule mke wake mwenye mtoto anaeitwa Tionenji ananifurahishaga
  5. Queen Kan

    Waigizaji wa Tanzania wana la kujifunza kwenye tamthilia ya Mpali

    Mimi navutiwa na character ya Nguzu mwenyewe na wake zake wote hasa mke mkubwa
  6. Queen Kan

    Umejifunza au ulijifunza jambo gani kipindi unapopitia au ulipopitia nyakati ngumu maishani mwako?

    Maumivu ni ishara ya kua bado uko hai.......if that's so amka pambana bila kukata tamaa
  7. Queen Kan

    Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

    Aposto, Eroni, Mshana, na wengine nasahau ID's
  8. Queen Kan

    Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

    Kama ni wengi je?
  9. Queen Kan

    Kitu gani kilikushangaza mara baada ya kuingia kwenye ndoa?

    Kumbe hata mkinuniana chakula inabidi umuwekee na vyombo utoe aisee nilishtuka😅
  10. Queen Kan

    Hali aliyokuwa nayo Bob Risky baada ya kuhukumiwa

    Ni yeye kweli huyu🤣🤣🤣
  11. Queen Kan

    Hakikisha unaamka kumwangalia mwenza wako kalalaje

    Ilikua tu nyuzi za hivi zitokee, haya tuamke usiku
  12. Queen Kan

    Madhaifu ya wanyakyusa nilichogundua baada ya kupeleka posa/barua kwa binti wa kinyakyusa

    Labda wa kubadili dini ukubwani ila wa kuzaliwa nao hakuna
Back
Top Bottom